Achraf Hakimi
JF-Expert Member
- Mar 3, 2010
- 943
- 1,944
Brazil atagawa dozi mkuuHuyu brazil wengi watampa nafasi ya kushinda
Akifungwa huyu kila mtu atajishika pale anapohisi pamemuuma
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Brazil atagawa dozi mkuuHuyu brazil wengi watampa nafasi ya kushinda
Akifungwa huyu kila mtu atajishika pale anapohisi pamemuuma
Argentina [emoji1033] yetu haina uwezo wa kubeba 6 points vs [emoji1166] Mexico na Poland [emoji1200] I repeat hana huo uwezo hana tena tuombe hyo Mexico vs Poland game iwe sare otherwise mwisho wa Argentina kama 2002 utakuwa umeisha kwenye group stageMwaka 2010 World Cup iliyofanyika pale South Africa, mechi ya kwanza Spain anakufa 1-0 kwa Uswizi lakini alikuja kutwaa ubingwa.
Somo: Never underestimate Argentina
lakin mkuu hawa argentina walistahili kupoteza kwa jinsi walivocheza hasa kipindi cha kwanzaWakati mwingine mpira una matokeo ya kikatili sana..
Game ijayo mkuu tutakua vzr.. Wake up call ya kupoteza tumepata tang game 36 zipite ss wajue inabid kupambana game 2 zijazo tucheze kama final tufuzu.. Mambo ya best loser sio ya kutegemea hata kdg.Nina imani Argentina watarekebisha makosa yao na kuuwasha moto kwa mechi zilizobakiaView attachment 2424134
Mm naujua mpira mkuu, kwa jinsi walivyocheza ilikuwa lazima wapoteze ile gameUliona mbali sana. Huo ndio utazamaji sahihi
Haters wetu Watasema ni motivation [emoji23].Mwaka 2010 World Cup iliyofanyika pale South Africa, mechi ya kwanza Spain anakufa 1-0 kwa Uswizi lakini alikuja kutwaa ubingwa.
Somo: Never underestimate Argentina
Punguza mapenzi mkuuTunaenda kuwashangaza watu kwa kutwaa ndooView attachment 2424116
Bado wana nafasi ya kufanya vzr.Mwaka 2010 World Cup iliyofanyika pale South Africa, mechi ya kwanza Spain anakufa 1-0 kwa Uswizi lakini alikuja kutwaa ubingwa.
Somo: Never underestimate Argentina
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Kudaaadeki,
Jini limemla mganga.....
Kuna ukweli hata kuna mwaka Argentina alifungwa mechi ya kwanza hata France lakini mwisho wa safari ndio walichukuwa ubingwa. Ila hongera kwa Saudia kutoa burudani na hizi team ndogo zijifunze unaingia unajiami kama ngumi basi toe to toe sio unaenda kucheza na wakubwa mmejazana nyuma. Hongera sana Saudia mmetoa burudani na darasa kubwa sana.Mwaka 2010 World Cup iliyofanyika pale South Africa, mechi ya kwanza Spain anakufa 1-0 kwa Uswizi lakini alikuja kutwaa ubingwa.
Somo: Never underestimate Argentina
Aloo upo best?[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Best!!!!!
Unataka tulete Takwimu za timu zilizopigwa mechi ya kwanza na bado hakuna cha maana walichokifanya?
Argentina ilikuwa mbovu sana siku ya leo. Huo ndiyo ukweli.
Poa sana Best yangu...Aloo upo best?
Za sikuuuuuu?