Argentina yatwaa ubingwa Kombe la Dunia - Qatar 2022

Argentina yatwaa ubingwa Kombe la Dunia - Qatar 2022

Nyie si mnanionaga mi coward navyo shabikia bila kuweka cheddar

Sasa leo hii kuna vibopa vimepasuka kwa muhindi vinapiga hesabu jinsi gani ya ku fix hiyo hasara

Njia wanayoifikiria ni kuweka matumaini kwa Mexico wazee wa Narcos

Baada ya mpira kuisha tutakamatana hapa hapa kujua jumla ya hasara waliyoipata
Sawa tumepasuka..

Ila sisi Pro Ronaldo, tumefarijika kwa kiwango chake..

Hatuitakii Argentina mema hata kidogo.
 
✅ Won the 2012 Africa Cup of Nations with Zambia.

✅ Won the 2015 Africa Cup of Nations with Ivory Coast.

✅ Shocks the world with Saudi Arabia against Argentina.

Mr Hervé Renard. 👏🇫🇷
20221122_151550.jpg
 
Mwaka 2010 World Cup iliyofanyika pale South Africa, mechi ya kwanza Spain anakufa 1-0 kwa Uswizi lakini alikuja kutwaa ubingwa.

Somo: Never underestimate Argentina
Unataka tulete Takwimu za timu zilizopigwa mechi ya kwanza na bado hakuna cha maana walichokifanya?

Argentina ilikuwa mbovu sana siku ya leo. Huo ndiyo ukweli.
 
Mwaka 2010 World Cup iliyofanyika pale South Africa, mechi ya kwanza Spain anakufa 1-0 kwa Uswizi lakini alikuja kutwaa ubingwa.

Somo: Never underestimate Argentina
Wale Spain usiwalinganishe na Argentina mbovu kama hii Yani wew kiungo wak Rodrigo de Paul wezako walikua Wana iniesta,xaivi,cecs wezako beki zao walikua kina puyol wew beki zako kina otamendi wazee wasubir mexico wakunganganie utoke vizuri
 
Back
Top Bottom