Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kule Qatar wamekataza hizi biasharaRefa kabetii
Hata waongeze nusu saa , hawezi chomoa8 zimekua 14
Kama nilivyosema jana na siku zote mimi hater no 1 wa Argentina leo nimefurahi sana , nakazia Kombe watalisikia redioni japo sio mwisho wao wa safari.Hawafiki mbali England na Argentina vikombe watasikia redioni tu ila makundi hata 16 bora watavuka coz wamepangiwa na vibonde ,mimi nina uzoefu wa kuwa hater na timu ninazozichukia zinafeli mwishoni.
Dakika za nyongeza zilizidi?8 zimekua 14
Kawabeba mpaka basi. Ila ndo hivyo favorite wamepigwaaaaaa.Slavicko, Mslovenia huyo
Refa alikuwa team Messi8 zimekua 14
Ziliongezwa 8 wamecheza hadi 14Dakika za nyongeza zilizidi?
Underdog kaua leoZiliongezwa 8 wamecheza hadi 14