Argentina yatwaa ubingwa Kombe la Dunia - Qatar 2022

Argentina yatwaa ubingwa Kombe la Dunia - Qatar 2022

Tunalo [emoji2]
Screenshot_20221222-074317.jpg


Sent from my TECNO CG6 using JamiiForums mobile app
 
Ronaldo amekosa washauri wazuri bahati mbaya alishampoteza baba ake hana mtu anayemsikiliza zaidi ya mama

Na mara zote mama humsapot mwanae kile anachotaka kukifanya

Unaona messi alivyo na utulivu kwasababu muda mwingi yupo na baba ake father figure ni muhimu sana

Ronaldo ataenda uarabuni kwasababu anafuata pesa
Sababu nyingine ronaldo anapenda kuabudiwa kule kwa waarabu watamtii kila anachotaka

Angeweza kwenda USA ila kule marekani kuna Master wa basketball ronaldo wanamuona wakawaida tu

Messi akitoka PSG anaenda zake USA kule walatino wengi sana, messi atapata sapot na kumalizia mpira vizuri
It hurts for his career to end that way,i wish asiende huko al nasr anyways wacha tusubr tuone
 
[emoji16][emoji16] pole kwa maumivu
Aguero ni legend wa timu yako usimseme hivyo
Aguero kasema ana heart problems ndomn kastaafu lakin alimbeba pessi juu juu huku anatrot,kapiga mangoma karukaruka kafanya vurugu zote na sjaskia akilala moyo wauma[emoji848]
 
Ronaldo amekosa washauri wazuri bahati mbaya alishampoteza baba ake hana mtu anayemsikiliza zaidi ya mama

Na mara zote mama humsapot mwanae kile anachotaka kukifanya

Unaona messi alivyo na utulivu kwasababu muda mwingi yupo na baba ake father figure ni muhimu sana

Ronaldo ataenda uarabuni kwasababu anafuata pesa
Sababu nyingine ronaldo anapenda kuabudiwa kule kwa waarabu watamtii kila anachotaka

Angeweza kwenda USA ila kule marekani kuna Master wa basketball ronaldo wanamuona wakawaida tu

Messi akitoka PSG anaenda zake USA kule walatino wengi sana, messi atapata sapot na kumalizia mpira vizuri
Yeah kule pesa ipo naona akikubali. Madrid angepokelewa bt wanasema hawadhan cr7 atakubali kuendana na rules watakazompa
 
Ronaldo amekosa washauri wazuri bahati mbaya alishampoteza baba ake hana mtu anayemsikiliza zaidi ya mama

Na mara zote mama humsapot mwanae kile anachotaka kukifanya

Unaona messi alivyo na utulivu kwasababu muda mwingi yupo na baba ake father figure ni muhimu sana

Ronaldo ataenda uarabuni kwasababu anafuata pesa
Sababu nyingine ronaldo anapenda kuabudiwa kule kwa waarabu watamtii kila anachotaka

Angeweza kwenda USA ila kule marekani kuna Master wa basketball ronaldo wanamuona wakawaida tu

Messi akitoka PSG anaenda zake USA kule walatino wengi sana, messi atapata sapot na kumalizia mpira vizuri
Babake kafark mda sana na still akaendelea kua kwenye peak so wala hyo sio sababu
 
Perez alishagombana na ronaldo kwasababu ya tabia za ronaldo nje ya uwanja

Wakati ronaldo anatoka manchester united kwenda real madrid
Ronaldo alikuwa anawapanga sana mabiniti wa kihispania hadi akadondokea kwa yule kahaba wa urusi baadae wakaachana

Sasa kuna skendo moja ya ushoga ndio iliharibu kabisa reputation ya ronaldo hapo ndio perez akamfungia kioo

Picha za ushoga za ronaldo zilipovuja perez akamkataa akamwambia mkataba ukiisha uondoke

Mpaka leo najiuliza kwann ronaldo alibadilika kutoka kuwa mtu wa madem mpaka kuwa kujidhalilisha? Pesa huja na mabalaa yake

Yule mwarabu aliyeshikwa naye alimnunulia nyumba usa

Kwahiyo tuseme tu ushoga ndio uliompoteza ronaldo wa mpira.
Yeah kule pesa ipo naona akikubali. Madrid angepokelewa bt wanasema hawadhan cr7 atakubali kuendana na rules watakazompa
 
Perez alishagombana na ronaldo kwasababu ya tabia za ronaldo nje ya uwanja

Wakati ronaldo anatoka manchester united kwenda real madrid
Ronaldo alikuwa anawapanga sana mabiniti wa kihispania hadi akadondokea kwa yule kahaba wa urusi baadae wakaachana

Sasa kuna skendo moja ya ushoga ndio iliharibu kabisa reputation ya ronaldo hapo ndio perez akamfungia kioo

Picha za ushoga za ronaldo zilipovuja perez akamkataa akamwambia mkataba ukiisha uondoke

Mpaka leo najiuliza kwann ronaldo alibadilika kutoka kuwa mtu wa madem mpaka kuwa kujidhalilisha? Pesa huja na mabalaa yake

Yule mwarabu aliyeshikwa naye alimnunulia nyumba usa

Kwahiyo tuseme tu ushoga ndio uliompoteza ronaldo wa mpira.
He aint gay hyo story ilikua cooked kila mtu anajua
 
Back
Top Bottom