yesamrich
JF-Expert Member
- Sep 6, 2022
- 2,520
- 4,526
Hii drama ya man u isingekuwepo prolly angetaza kustaaf nxt year but kwa hii situation iliyopo not a good ending for him.Kulikuwa na ubaya gani angestaafu? Kwasababu he is finished
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hii drama ya man u isingekuwepo prolly angetaza kustaaf nxt year but kwa hii situation iliyopo not a good ending for him.Kulikuwa na ubaya gani angestaafu? Kwasababu he is finished
Alikataliwa huyo akamind
Hii drama ya man u isingekuwepo prolly angetaza kustaaf nxt year but kwa hii situation iliyopo not a good ending for him.
Ww kla mwanamke unalala nae?Hivi kuna mwanaume anaweza kumkatalia rihanna duniani [emoji16][emoji16]
Usicheze na rihanna mpendwa
Km ronaldo aliangukia kwa kahaba irina amkatae rihanna
Ukweli anaambiwa but he is denial,sio rahisi kukubali. Fans wake tunaumia bas tu[emoji25],anatakiwa awe humble tu amalize vizur,hiko kibur angekileta zama zile sio sasa 37YOYeye anangangania astaafu akiwa na 40 na aendelee kupewa value ile ile apo ndio alipokosea
Mwenzie messi kaongezewa mkataba na PSG hadi 2024 tena hajaomba wenye timu ndio wamemuomba
Ronaldo amekosa watu maturity wa karibu yake au wanaogopa kumwambia ukweli
Ww kla mwanamke unalala nae?
Cr7 was in a rtnshp tayar when he was close with riri. Angekua single hapo kweliSiwezi kulala na kila mwanamke ila kwaniaba ya wanaume wote duniani hakuna mwanaume atakataa kulala na rihanna Never
Ukweli anaambiwa but he is denial,sio rahisi kukubali. Fans wake tunaumia bas tu[emoji25],anatakiwa awe humble tu amalize vizur,hiko kibur angekileta zama zile sio sasa 37YO
Cr7 was in a rtnshp tayar when he was close with riri. Angekua single hapo kweli
mnamchafua sana esp kwa vtu ambavyo si vya kwel [emoji19]Buana mbona unamtetea sana why
[emoji23]Lbd mkuu sio TZ hii nayoijua mm.. Sisi kwa porojo TU hata world cup tunabeba lkn sio kwa mpr uwanjan.Itokee Tanzania tubebe hata afcon tu nasisi tuifunge dar
Na Cr7 hawez ingia marekani maana zile tuhuma za kesi yake bad hazijapoa.Ronaldo amekosa washauri wazuri bahati mbaya alishampoteza baba ake hana mtu anayemsikiliza zaidi ya mama
Na mara zote mama humsapot mwanae kile anachotaka kukifanya
Unaona messi alivyo na utulivu kwasababu muda mwingi yupo na baba ake father figure ni muhimu sana
Ronaldo ataenda uarabuni kwasababu anafuata pesa
Sababu nyingine ronaldo anapenda kuabudiwa kule kwa waarabu watamtii kila anachotaka
Angeweza kwenda USA ila kule marekani kuna Master wa basketball ronaldo wanamuona wakawaida tu
Messi akitoka PSG anaenda zake USA kule walatino wengi sana, messi atapata sapot na kumalizia mpira vizuri
Kante angekuwepo, Argentina asingebeba hilo kombe
Mark my words
Sasa tumark ur words ili iweje kivip yan kwmb Kante akipona final inarudiwa afu France anashindaKante angekuwepo, Argentina asingebeba hilo kombe
Mark my words
Na Cr7 hawez ingia marekani maana zile tuhuma za kesi yake bad hazijapoa.
Ndo maana hujaona wanaongelea kbs kwend marekani kule anaweza fika tu akakamatiwa Airport.
Habari ya Asubuhi MABINGWA WA DUNIA.
CR7[emoji736], Neymar [emoji736]&Mbappe [emoji736]
Vamoooooooooos Albiceleste [emoji1033][emoji41]View attachment 2454307
Bado mzee.. Wanasema representatives wa muhanga bado wanakisonono kwhy hawez risk kwend kule kirahis.. Unaweza shangaa unatua airport tu warrant inatoka ukamatwe.Lile ni kama walimaliza nje ya mahakama au danganya toto
Mkombe wa Copa America kama vyoo vya DDC kariakooHabari ya Asubuhi MABINGWA WA DUNIA.
CR7[emoji736], Neymar [emoji736]&Mbappe [emoji736]
Vamoooooooooos Albiceleste [emoji1033][emoji41]View attachment 2454307