Kombe hili itabidi uangalie ka timu kako mbadala.[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Mm ndo nilibaki sina kitu kabisa
Aisee asante kwa hii rtb. Ntakua naangalia updates humu saa nne nakua nimeshalala..hata kama niko macho sio kwenye TV
AsanteAisee asante kwa hii rtb. Ntakua naangalia updates humu saa nne nakua nimeshalala..hata kama niko macho sio kwenye TV
Hahah kwa sasa naanza kuwapenda England na mexicoKombe hili itabidi uangalie ka timu kako mbadala.[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
France hawana mbambambaKombe hili itabidi uangalie ka timu kako mbadala.[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Yaani kamechi kamoja tu umeisha toa conclusion!Utabiri :
Argentina havuki makundi
Kuna moja kanidakia dakika za mwisho duhuuu ilikua tuondoke Ile alverz alijiandaa kushangalia kabisa lakini mjinga kaficha kwapani uyu jamaa wamuongezee mkee
pole ndugu mkeka umeliwa huo, usivuke mto kabla....??Saudi Arabia [emoji1210] anaenda kulambwa goli 7.
Sure!Andikeni mbakishe
Bado mapema sana upepo kugeuka
Ohooo
Alimfunga ila angalia line up ya kwanza na sub, yaani ni bora umchezeshe Marcos Rojo kuliko Otamendi....wameshachokaAngemfunga si ata copa america alimfunga final Derby yao
Bora hao wahuni wa america, lakini hao watoto wa malkia hapana waache hahaHahah kwa sasa naanza kuwapenda England na mexico
Huwezi ukachukua Brazil na Argentina kwa wakati mmoja wakati hao ni mahasimu wakubwa, we chukua moja usiwe vuguvugu mkuu ππMule mule mm
Nambari one ni Brazil
Argentina
Senegal
Wakifeli hao kufika robo fainal basi ntatafuta timu nyingine ya kushangalia ila sio German na France π π π
Huwezi ukachukua Brazil na Argentina kwa wakati mmoja wakati hao ni mahasimu wakubwa, we chukua moja usiwe vuguvugu mkuu [emoji849][emoji849]
Mm ni vuguvugu ilimradi hawako kundi mojaHuwezi ukachukua Brazil na Argentina kwa wakati mmoja wakati hao ni mahasimu wakubwa, we chukua moja usiwe vuguvugu mkuu ππ
Brazil na Nedherland hizo anza kuzihesabia semi finals. Ila kwa sasa hawa Argentina, France, Germany jua muda wowote wana kushangazaFootball is beautiful. Bado Brazil ma ma e.