Ndo kufukuzwa huko sema tu wameisugarcoat,hawamtaki hata kwa burewell hajafukuzwa, ila ni mutual termination, UTD na Ronaldo wamekubali kila mtu aende njia yake.
[emoji23][emoji23][emoji23]et wanajua kudeal na vizee dahNadhani Chelsea wanajua kudeal na wazee si unaona akina koulibally jorginho silva na kina azpi!
Cha muhm mkuu tuweze kumfunga Mexico Yan tukifany ivo matumaini ya kuongoza yanaweza kuwepo.. Mexico wazr sana wana mpr wao mzr sana hlf ss wana Ochoa kikwazo sana huyo jamaa.Kwa matokeo haya ya Mexico sitashangaa Argentina akaja kuongoza kundi
Aisee.Kufuatia ushindi walioupata Saudi Arabia mbele ya Argentina, Mfalme wa nchi hiyo ametangaza kesho ni mapumziko
Unataka kusemaje1998 FRANCE winner
2002 BRAZIL winner
2018 FRANCE winner
2022 BRAZIL winner
Sent using Jamii Forums mobile app
Hyo gharama ni ya mechi moja tu amaNimejaribu kuangalia bei za ticket ni kuanzia Us$ 95-750.
Mechi zinazohusisha Argentina ndio mechi tiketi zake zinauzwa kwa bei kubwa. Kuanzia $550+
Hii maanake ni kwamba Leonel Messi bado ni mtu muhimu sana kwwnye soka. Game zote za Argentina ni $550+
Game kati ya Spain na German nayo bei ya ticket ipo juu. $ 750. Hii ni kwenye round ya kwanza.
Waarabu kwa starehe tu mbn ndo wenyw na wasivopenda kufny kaz bas kuanzia leo na kesho ni kuparty tu.Kufuatia ushindi walioupata Saudi Arabia mbele ya Argentina, Mfalme wa nchi hiyo ametangaza kesho ni mapumziko
man U wangemfukuza kisheria wanatakiwa wamlipe mshahara wake wote, Ronaldo angekimbia UTD angehitajika kuwalipa, ila mutual termination ni makubaliano inamaana hakuna anaemlipa mwenzake. ukiona hivi kuna timu Ronaldo amepata na hio timu itamlipa hela nyingi sababu hakuna fee watakayolipa, signing fee itaenda kwa ronaldo.Ndo kufukuzwa huko sema tu wameisugarcoat,hawamtaki hata kwa bure
Tayar nshasema kakaUnataka kusemaje
Makundi ndo atakapoishiaFrance itafika mbali sana kwa kikosi hiki.
Aisee ukienda huko inatakiwa ujipange sana.Hyo gharama ni ya mechi moja tu ama
Tusubiri tuone
Maajabu yaliyopo kwenye game ya france na australia ni France kufungwaMexico vs poland
Game ilikua nzuri sana ila tatizo haina magori. Mexico ni kama alikua anataka kufanya jambo lakin wapi..!!
Lewandonski nayeye akatyanka kivyake.
Wacha tusubiri FRANCE vs AUSTRALIA labda kutakua na maajabu.
Unataka kusema pamoja na interview alofanya kama angekaza fuvu akaendelea kuwepo man u wasingemfukuza?man U wangemfukuza kisheria wanatakiwa wamlipe mshahara wake wote, Ronaldo angekimbia UTD angehitajika kuwalipa, ila mutual termination ni makubaliano inamaana hakuna anaemlipa mwenzake. ukiona hivi kuna timu Ronaldo amepata na hio timu itamlipa hela nyingi sababu hakuna fee watakayolipa, signing fee itaenda kwa ronaldo.