Argentina yatwaa ubingwa Kombe la Dunia - Qatar 2022

Argentina yatwaa ubingwa Kombe la Dunia - Qatar 2022

Nimejaribu kuangalia bei za ticket ni kuanzia Us$ 95-750.
Mechi zinazohusisha Argentina ndio mechi tiketi zake zinauzwa kwa bei kubwa. Kuanzia $550+

Hii maanake ni kwamba Leonel Messi bado ni mtu muhimu sana kwwnye soka. Game zote za Argentina ni $550+

Game kati ya Spain na German nayo bei ya ticket ipo juu. $ 750. Hii ni kwenye round ya kwanza.
Hyo gharama ni ya mechi moja tu ama
 
Ndo kufukuzwa huko sema tu wameisugarcoat,hawamtaki hata kwa bure
man U wangemfukuza kisheria wanatakiwa wamlipe mshahara wake wote, Ronaldo angekimbia UTD angehitajika kuwalipa, ila mutual termination ni makubaliano inamaana hakuna anaemlipa mwenzake. ukiona hivi kuna timu Ronaldo amepata na hio timu itamlipa hela nyingi sababu hakuna fee watakayolipa, signing fee itaenda kwa ronaldo.
 
Mexico vs poland

Game ilikua nzuri sana ila tatizo haina magori. Mexico ni kama alikua anataka kufanya jambo lakin wapi..!!

Lewandonski nayeye akatyanka kivyake.

Wacha tusubiri FRANCE vs AUSTRALIA labda kutakua na maajabu.
Maajabu yaliyopo kwenye game ya france na australia ni France kufungwa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
man U wangemfukuza kisheria wanatakiwa wamlipe mshahara wake wote, Ronaldo angekimbia UTD angehitajika kuwalipa, ila mutual termination ni makubaliano inamaana hakuna anaemlipa mwenzake. ukiona hivi kuna timu Ronaldo amepata na hio timu itamlipa hela nyingi sababu hakuna fee watakayolipa, signing fee itaenda kwa ronaldo.
Unataka kusema pamoja na interview alofanya kama angekaza fuvu akaendelea kuwepo man u wasingemfukuza?
 
Back
Top Bottom