Herzog
JF-Expert Member
- Jul 26, 2022
- 4,129
- 4,859
Nmecheka sana a see dahNimeona mahali unatafuta ajira pole sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nmecheka sana a see dahNimeona mahali unatafuta ajira pole sana
Mkuu kombe ni la Argentina timu LA duniaNgumu kumesa hii.
Niko hapa jijini Sao Paul, tunasubiri Al Rihla kuletwa hapa.
Kama kawaida mkuuQatar nao wana monde yao?
Unashabikia timu za Africa pekee? Basi kwanzia robo fainali utakuwa huna timu ya kushabikiaKwa hiyo mzalendo wa kushabikia timu za Africa nitakuwa peke yangu humu?
Utafanyikq ufuska mkubwaa sanaaa kwenye hiz kontenaWorld Cup Village - hiki ni kijiji maalum kwa ajili ya mashabiki hapo Qatar ambapo kitakuwa kinalaza mashabiki watakaopenda kulala hapo maana kuna sehemu nyingine kama hoteli.
Kijiji hiko kimejengwa kwa makontena na kina vyumba takribani 6,000 (elfu sita).
Kulala hapo kwa usiku mmoja ni US Dollar 200 sawa na Shilingi za Kitanzania 466,400 kwa usiku mmoja tu.
Na tayari vyumba vyote elfu 6 vya kijiji hiko vipo booked (vimejaa)
View attachment 2413638View attachment 2413639.
Kwa hiyo nyie wazee mnatembea na backup?Unashabikia timu za Africa pekee? Basi kwanzia robo fainali utakuwa huna timu ya kushabikia
Argentina + Germany + SenegalKwa hiyo nyie wazee mnatembea na backup?
Yaani jumla ya wachezaji wote ni 832 ligi ya Africa inatoa wachezaji 8 tu , bado tuna safari ndefu sana kisoka naskia ligi za ulaya zaidi ya wachezaji 500+.
Labda kama South Africa na Misri zingefuzu walau tungefikisha wachezaji 60 mpk 70Yaani jumla ya wachezaji wote ni 832 ligi ya Africa inatoa wachezaji 8 tu , bado tuna safari ndefu sana kisoka naskia ligi za ulaya zaidi ya wachezaji 500+.