Greatest Of All Time
JF-Expert Member
- Jan 1, 2017
- 23,620
- 52,790
- Thread starter
- #3,781
Fundi mguu wa kushotoBila kumsahau harry kewell
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Fundi mguu wa kushotoBila kumsahau harry kewell
🤣🤣🤣 Fastaaaaa nikarudi kusoma jina..Mbappe anakosa goal halafu anacheka....yani pass kapewa tamuuu ila utulivu F
Na kasura kake kazurii..
Oya ntazima data maana jinsi mnavyopata hii burudani wenzetu ambao area zenu kuna umeme mnanitamanisha sanaIla Mbappe anakimbia nyie
Hahahaha ukakuta ni nani vile??🤣🤣🤣 Fastaaaaa nikarudi kusoma jina..
Miminnacheki kwenye simu kupitia dstv nowOya ntazima data maana jinsi mnavyopata hii burudani wenzetu ambao area zenu kuna umeme mnanitamanisha sana
Yani mnanifanya nione kukosa kuangalia hii mechi iwe kama nimepoteza kitu kikubwa cha thamani
Kwa ili atapigwa sema mikeka mingi unakuta mtu aliunganisha kuanzia ule wa Argentina maana ilikua uhakika Argentina atashinda.Mechi ikiisha France kapoteza, muhindi ataitisha sherehe kama Saud Arabia walivyofanya baada ya kupata ushindi kwa Argentina
Kama una bundle si uende hesgoal.comOya ntazima data maana jinsi mnavyopata hii burudani wenzetu ambao area zenu kuna umeme mnanitamanisha sana
Yani mnanifanya nione kukosa kuangalia hii mechi iwe kama nimepoteza kitu kikubwa cha thamani
Analeta sura hapa kwan ametumwa madem?Anakosaje Goli la wazi hivi mpira wakugusa tu yey anapiga mbali kweli
Mapema hii au unaenda kulinda ndoa?Kila la heri Australia
Usiku mwema
Nilivoona ni madam nikasema hapo sawa..Hahahaha ukakuta ni nani vile??
🤣🤣🤣✌Nilivoona ni madam nikasema hapo sawa..
Ee leo baba chanja yupo napunguza mbambambaamapema hii au unaenda kulinda ndoa?
Mbape ana uso wa wa soli yule, Mbape si bora kwa Onyango.Ila mbappe mzuriii [emoji173][emoji173][emoji173][emoji173][emoji2956][emoji2956][emoji2956][emoji2956][emoji2956]
Ngoja nchafue hal ya hewaa
Weee mzurii bwanaaMbape ana uso wa wa soli yule, Mbape si bora kwa Onyango.