$500,000 acha masikhara mzeee yaani dollar nusu million na gari juuu. Kwa kweli hawa jamaa watakufa uwanjani wafike robo.Nasikia dola laki tano kila mmoja plus makocha sijui technical yani kila aliyehusika na team mkweche na dusco
Sasa hizi ndio motisha jamnani sio sie tunaleta ujinga wadada wameenda world cup eti tunashindwa wapa ata toyota rush