Kalpana
JF-Expert Member
- Jun 16, 2017
- 32,603
- 62,269
Naona haupo kabisa🤣🤣🤣🤣
Bado sana..kwa sasa shabikia kitu roho inapenda
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Naona haupo kabisa🤣🤣🤣🤣
Bado sana..kwa sasa shabikia kitu roho inapenda
Ghana yuko na portugal sidhani kama atatoka salamaNaisubiria kwa hamu mechi ya Ghana
Nipo naangaliaUna generator?
Pole mkuuNipo naangalia
Kibongo bongo generator niitoe wapii?
🤣🤣
Mech ya Germany Vs Japani inaanza saa ngap kwa masaa ya Ta
Masaa ya Qatar na na bongo ni yaleyale, game itakuwa saa kumiiMech ya Germany Vs Japani inaanza saa ngap kwa masaa ya Tanzania ?
Wanakutisha kwa sababu walifka finaly 2018?? Usiwaogope ni wa kawaida sanaCroatia team kubwa bwana
Morocco wana kazi sana
Na CR7 ni mmoja ktk kikosi?Ghana yuko na portugal sidhani kama atatoka salama
Kama hayana utofaut mbna kweny ratiba wameandka 13:00 hii inaendana vip na huku mkuu?Masaa ya Qatar na na bongo ni yaleyale, game itakuwa saa kumii
Huyo ndo talisman wao lazima awepo, pia kama huwa unasikia wanasema kiungo bamia ureno yupo anaitwa benardo silvaNa CR7 ni mmoja ktk kikosi?
TwafwaaaHuyo ndo talisman wao lazima awepo, pia kama huwa unasikia wanasema kiungo bamia ureno yupo anaitwa benardo silva
Kama hayana utofaut mbna kweny ratiba wameandka 13:00 hii inaendana vip na huku mku
Ratiba gani hyo wameandika saa 13?Kama hayana utofaut mbna kweny ratiba wameandka 13:00 hii inaendana vip na huku mkuu?
Ulitaka umeme uoge? 😆 😆 😆Hapa kazini leo hawajakata 🤣
Nyumbani walikata asubuhi mapemaaa hata sikuwa nimeoga
Kwanini usitafte timu nyingine mkuu?Twafwaaa