Kbs mkuu Yan Busquets htr sana eneo ilo hatumii ngv mpr anaufanya mrahis sana.Bus ni noma ndo maana Rodri anachezeshwa beki
Hao nao vibonde ndo nini sasaTUNAITAJI ULINZIView attachment 2425397
Ngoja tuoneBelgium anakwenda kupigwa.
Ah wapi TUTAWACHAPA CANADA NDOIGE SAFI TU...subiri uoneBelgium anakwenda kupigwa.
Jamaa walienda Qatar kula tende na halwa🤣Kha pass elf moja😲😲😲
Kha hawa jamaa hawafai kuwepo world cup yaani zero shots....wao walikuja kukimbia tuu🤣🤣🤣🤣🤣
Goli kama netball yaaniHuruma ya nini bwana...hii ndio stage ya wanaojua boli
Bila lukaku,Edern Hazard mbovu. Mmekwisha.Ah wapi TUTAWACHAPA CANADA NDOIGE SAFI TU...subiri uone
Spain wakiweza kua more solid defensively na wakina Morata wakawa more clinical Spain atakua msumbuf sana nusu atacheza.. Natak nimpime akikutana na Germany ambayo inahitaj matokeo baada ya kupoteza game ya kwnz.Toka kombe bdo nasema hili
Hawa kwa kweli wametia aibu...not a single shotGoli kama netball yaani
Dah!
Hii world cup ya tofaut mnoo.Ilianza kwa Argentina... leo German...
Team Brazil tujiandae kisaikolojia tu.
WC hii imekuja kinyume nyume...
Hata mimi japo sijui mpira ila ningepewa namba ningecheza kuliko hawa jamaaHawa kwa kweli wametia aibu...not a single shot
beeeIla wewe Suzy wewe
Juzi tu kwwnye league of national alikaa uyo ujerumaniSpain wakiweza kua more solid defensively na wakina Morata wakawa more clinical Spain atakua msumbuf sana nusu atacheza.. Natak nimpime akikutana na Germany ambayo inahitaj matokeo baada ya kupoteza game ya kwnz.
HutoaminiBila lukaku,Edern Hazard mbovu. Mmekwisha.
Ata Brazil alivyokula 7 kwa Germany aliitwa kibondeHao nao vibonde ndo nini sasa
Aibu sana yani,af keeper wao kama pazia tu,kila ukigusa imoooHawa kwa kweli wametia aibu...not a single shot