Hata Interview zake nyingi huwa anasema....Yn lile tukio litamtesa sn, pia hta kwetu sie wapenzi wa soka tuliumia sn. Hlf wapo group moja, inabid Ghana walipize kisasi
Hakuna sehem nimesema watamfunga Ureno lkn point yng ndo matumaini ya Africa yalipo kwa ss, kwny mpr kila kitu kinawezekana lkn ni ngumu kwny makaratas ukiangalia ubora wa vikosi vyote.Nawe una uhakika Ghana atafanya maajabu kwa Ureno au umeamua tu kujilisha upepo?
Hakika walau kupoza machungu wafanye Uruguay na yy asifuzu hata 16 kwa kumharbia mipango yake.Yn lile tukio litamtesa sn, pia hta kwetu sie wapenzi wa soka tuliumia sn. Hlf wapo group moja, inabid Ghana walipize kisasi
[emoji23][emoji23]Suarez ni muhuni hlf akasbr had aone anakosa akashangilia balaa.Hata Mimi sidhani Kama ntakujaga kuwasamehe hawa Uruguay aisee
Hakuna cha kila kitu kinawezekana hao Ghana uwezo wao ni mdogo mno mno. Hata kama wakimfunga ureno hawafki popote.Hakuna sehem nimesema watamfunga Ureno lkn point yng ndo matumaini ya Africa yalipo kwa ss, kwny mpr kila kitu kinawezekana lkn ni ngumu kwny makaratas ukiangalia ubora wa vikosi vyote.
Game saa ngapiYani mm nawapenda sn Ghana. Bado machungu ya 2010 hayajaisha kwa kweli.
Point ya leo wakiweza kushinda itakua vzr Pa1 sioni ilo likitokea lkn ikitokea ivo bas watajiweka pazr kufuzu 16, Pa1 kwl team yao ya kawaida sio Ghana ile 2010 hata kdg.Hakuna cha kila kitu kinawezekana hao Ghana uwezo wao ni mdogo mno mno. Hata kama wakimfunga ureno hawafki popote.
Mwamba alitumia akili nyingi sana.Hata Interview zake nyingi huwa anasema....
Kukosa ile penalty bado kunamuumiza sana..
Yule Mpuuzi mmoja Luis Suarez alivyofurahi....Binafsi sijawahi kusahau usiku wa ile siku.
Sa1.Game saa ngapi
Brazil saa nne,Wakuu game ya Brazil saa ngap.pia game ya Ghana saa ngapi
Umesema ukweli mtupuHakuna cha kila kitu kinawezekana hao Ghana uwezo wao ni mdogo mno mno. Hata kama wakimfunga ureno hawafki popote.
Jamani hawa warembo wa jf wanazijua ratiba za boli hatariBrazil saa nne,
Ghana saa moja...!!
Kbs kwa sbb alisema kuliko huyu mpuuz afunge goal la wazi ivi bora nishike ipigwe tuta akijua tuta kuna proba ya 50/50 anaweza pata au kukosa.. Bas bet yake ikatiki akakosa.Mwamba alitumia akili nyingi sana.
Mkuu team ambayo imetoka Africa ilikuwa vizuri ni Senegal zingine ni trashPoint ya leo wakiweza kushinda itakua vzr Pa1 sioni ilo likitokea lkn ikitokea ivo bas watajiweka pazr kufuzu 16, Pa1 kwl team yao ya kawaida sio Ghana ile 2010 hata kdg.
🤣🤣🤣🤣 Hatari sana jamaa asije africa kabisa. The man who denied africa a spot in the semi finals..[emoji23][emoji23]Suarez ni muhuni hlf akasbr had aone anakosa akashangilia balaa.
Nakubaliana na ww kbs Senegal alikua position nzr sana lkn kitendo cha Mane kuumia kumepunguza chances zake sana kufuzu na kufny vzr.Mkuu team ambayo imetoka Africa ilikuwa vizuri ni Senegal zingine ni trash