Southern Highland
JF-Expert Member
- Mar 22, 2017
- 14,938
- 25,405
Mimi mpaka leo huwa najikuta namchukia tu. Nilizidi kumchukia mara 7½ yake alipohamia Barca yan ilikua kila inapofika El Classico na Barca akipoteza hiyo furaha yake usipime asee.Hata Interview zake nyingi huwa anasema....
Kukosa ile penalty bado kunamuumiza sana..
Yule Mpuuzi mmoja Luis Suarez alivyofurahi....Binafsi sijawahi kusahau usiku wa ile siku.
Nitaeleza kwa namna ninavyokumbuka wengine wanaweza kuongezea....Hivi penaty ile ilipatikana vipi mbona naona suarez analaumiwaga sana??
HV uoni wanachofanya mkuu Mbna vijana wanapamban vilivyoJaman south korea hamna kitu basi tu wana bahat mpk saiv hawajafungwa
Lbd jamaa haangalii mpr anasikiliza.. Maana Korea kacheza sana game vzrHV uoni wanachofanya mkuu Mbna vijana wanapamban vilivyo
Mambo ni mingi Beshti.. Pole..Beshti akee nilikua kwenye mihangaiko ndo nakam baki home. Kwema lakini? Hebu tukonsentrate huku maana Simba kule nia majanga [emoji38] [emoji38] [emoji38]
Mimi sina imani na Ghana na Cameroon kwa kuzingatia namna walivyofuzuWadau humu ukiwaambia khs team za Africa hawatak na wala hawana imani kbs na hata m1 wao.
Tuvumilie tuu huku tukiiombea.Mambo ni mingi Beshti.. Pole..
Kwema kabisa... Vipi wewe?
Aki Wallah... Simba itakuja kuwa chanzo cha Presha kwa wanasimba wengi siku moja....Sielewi..
Head of Referees Pierluigi Collina alisema watahesabu kila dkk iliyopotea including subs, Var yan upotezaj wa mda wowote wanatk game zichezwe full 90 minutes.Ila kombe la dunia, dakika za nyongeza ni kuanzia tano kwenda mbele.
Aliwaudhi watu wengi sana kwa kile alichofanya... Mwehu yule..Mimi mpaka leo huwa najikuta namchukia tu. Nilizidi kumchukia mara 7½ yake alipohamia Barca yan ilikua kila inapofika El Classico na Barca akipoteza hiyo furaha yake usipime asee.
Sent using Jamii Forums mobile app