Argentina yatwaa ubingwa Kombe la Dunia - Qatar 2022

Magoli yote matatu ya Portugal yalikuwa offside (angalau goli la Joao Felix linaweza kuwa na debate , lakini goli la Raphael Leao iko wazi ni offside, ebu angali hizi picha na refa hakutaka hata kutumia VAR. Tutaendelea kuchezewa michezo ya kitoto Afrika hadi lini.


Raphael Leao clear offide goal

View attachment 2427135

Joao Felix clear offide goal

View attachment 2427137
 
Ila kombe la dunia, dakika za nyongeza ni kuanzia tano kwenda mbele.
Ni marekebisho yaliyopitishwa ktk sheria na taratibu mpya za FIFA. Hii ni ktk kufidia stoppage time mf. pale mpira unapotoka nje ya pitch n.k.
Huu ni mchango wa mkongwe Mzee Pierluigi Collina ambaye kwa sasa ni Mwenyekiti wa Kamati ya Referees wa FIFA.
 
Chezeni, msitegemee kulalamika baadae kuwa maamuzi hayakuwa upande wetu
 
Mpaka sasa kwa mtizamo wangu wa raundi ya kwanza naona Uingereza, france na Spain wamepania sana haya mashindano. Na ninahisi kati ya hao watatu ndipo bingwa alipo. Brazil nao wapo ila wakikutana na hao watatu siioni nafasi yake.
Uingereza bado sijaona cha tofaut uwa wanaanza vzr lkn wakikutana na vingingi vizito watabeba mabegi yao nyumbani.
Kwa upande wng team ambazo zinaonekana ni za kuogopa ni Brazil, France na Spain.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…