Argentina yatwaa ubingwa Kombe la Dunia - Qatar 2022

Argentina yatwaa ubingwa Kombe la Dunia - Qatar 2022

Hawa US wanakaba aisee

Yani wanaanzia eneo la mwisho wanakaba, na pale wanapofanyiwa shambulizi la haraka wote wanarudi nyuma kwa pamoja

Na kuanza kum-harras aliyekuwa na mpira kwa wakati huo mwisho wa siku option anayobakia nayo ni kuurudisha nyuma maana mbele kunakuwa hakupitiki
 
England wafunge watakuja fny mashabik wake wasiamin wanachokiona. Hawa USA wanafika sana punde si punde litatokea la kutokea.
 
Back
Top Bottom