Dormant Account
JF-Expert Member
- Apr 5, 2022
- 11,308
- 32,757
Matako tenaEndapo matako yatabaki hivi hivi basi Morocco itakuwa timu ya kwanza kutoka Africa kufuzu mtoanoView attachment 2429261
Mwenyewe [emoji34][emoji34]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Matako tenaEndapo matako yatabaki hivi hivi basi Morocco itakuwa timu ya kwanza kutoka Africa kufuzu mtoanoView attachment 2429261
Typing error!Matako tena
Mwenyewe [emoji34][emoji34]
Inakeraa sana hii haliAisee kwa jiran umeme upo home hamna [emoji34][emoji34]
kwaio ukicheza mara 5 ni afu 10 tayar[emoji1787]Yaani gambling Mimi huwa hainiendeshi.
Huwa nacheza tatu mzuka mara Moja Moja.
Kiwango Cha mwisho kucheza ni elfu 2 tu..Bila kujali narudisha Hela yangu au hapana.
Yah ni kweli ndyo maana nikamuombea Canada apigwe tuMatokeo yakibaki hivi hivi Morocco amefuvu kwasababu mechi ya mwisho ni Croatia vs Belgium.View attachment 2429273
Ngoja niende banda umiza tu niwahi hii gameKipindi cha pili kishaanzA
Inaonekana kwenye keyboard unachat sana matakoTyping error!
Una kichaa ww [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Inaonekana kwenye keyboard unachat sana matako
Hii sio kamba? 😂😂😂Moroco kinachowabeba wako karibu sana na ulaya. Unaambiwa kuna maeneo Moroco ukipanda juu ya mti unaiona baadhi ya mitaa Spain na Ureno
bado, akipigwa na canada 2-0, hao waulaya wakatoa sare anakua wa tatuMatokeo yakibaki hivi hivi Morocco amefuvu kwasababu mechi ya mwisho ni Croatia vs Belgium.View attachment 2429273
Wala hujachelewa dk ya 55Ngoja niende banda umiza tu niwahi hii game
BUSH BIN LADEN nishushe kituo kinachofta [emoji23][emoji23][emoji23][emoji119][emoji119][emoji119]Moroco kinachowabeba wako karibu sana na ulaya. Unaambiwa kuna maeneo Moroco ukipanda juu ya mti unaiona baadhi ya mitaa Spain na Ureno
Akifungwa na Canada na Belgium akashinda GD ndio itaamua nani asonge kati ya Croatia na Morocco. Hiyo ndio bad scenerioMorocco uhakika upo
Ni kweli. Ni basi tu wazungu wanaogopa migrants kutoka Africa. Otherwise wangejenga daraja Hispania -Moroco.Kama ilivyo Tunnel France -Uingereza.Hii sio kamba? 😂😂😂
Morocco amepita tayari, Canada kila team inajipigia tuMatokeo yakibaki hivi hivi Morocco amefuvu kwasababu mechi ya mwisho ni Croatia vs Belgium.View attachment 2429273