Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 76,039
- 230,142
Mimi siweziHyo kitu ina addiction zaidi ya pombe na madawa ya kulevya.yaan unaliwa daily ila unajipa matumaini ya kula .Achana nacho mkuu.
AsanteBetpawa ndo nyepesi kutumia
Ila zipo
Helabet
Sportybet
Meridian
Premier
Wasafibet
Betway
Bookiebet
Yupo sahihi bwana Morocco na spain ni KM 14 tu, mfano Znz ni km 40 kama sijakosea.Uongo umeanza lini???[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sent from my TECNO CG6 using JamiiForums mobile app
Kabisa niko pamoja na wwKundi f mpaka sasa belgium waandae kabisa tiketi zao kwenye ndege ya air tanzania,maana hawana uwezo wa kupenya kwenye hili kundi,
Wanapita moroco na croatia.....
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Mimi siwezi
Nikicheza buku nikakosa basi sichezi tena.
Siwezi cheza zaidi ya Aftatu.
Sent from my TECNO CG6 using JamiiForums mobile app
Dah[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Endapo matako yatabaki hivi hivi basi Morocco itakuwa timu ya kwanza kutoka Africa kufuzu mtoanoView attachment 2429261
Karibu sanaYupo sahihi bwana Morocco na spain ni KM 14 tu, mfano Znz ni km 40 kama sijakosea.
View attachment 2429297
View attachment 2429298
Me mwenyew nataman lakin wakali wa kubet hua hawashaur mtu afanye hvo kama hajaanza. Tangu nmeanza omba ushaur hamna alienikubalia,so nmeacha ubishi wacha nitulie tu.
Halafu hawa ndio mabingwa wa Concacaf, Kabara kadogo wanaingiza timu kibao, wapokonywe nafasi moja ije Africa kwenye nchi 52.Canada wanatia huruma....
Weee sema kwelLa 4 kwa Croatia
Mimi sibeti hela kubwaMe mwenyew nataman lakin wakali wa kubet hua hawashaur mtu afanye hvo kama hajaanza. Tangu nmeanza omba ushaur hamna alienikubalia,so nmeacha ubishi wacha nitulie tu.
Duh wacha nifanye mpango nizamieYupo sahihi bwana Morocco na spain ni KM 14 tu, mfano Znz ni km 40 kama sijakosea.
View attachment 2429297
View attachment 2429298
Kwani huyu mchizi ni mtanzania?
Hawa Canada weupe.. Morocco anapita vzr kbs.Halafu hawa ndio mabingwa wa Concacaf, Kabara kadogo wanaingiza timu kibao, wapokonywe nafasi moja ije Africa kwenye nchi 52.
Mmmh hata kama,haya utanipa mrejesho nakusklizia kwanza[emoji28]