Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 76,039
- 230,142
Duh [emoji23]Dada kubet no roho. Ukianza utaona ah ngoja niache nimeliwa...lakin unajikuta unashawishika kujaribu tena. Unabet unakula tena hela ya maana...unasema tena...unakula hela ya maana....heheeee hapo ndo shetan anavuta ndoo anakaa kujifunza. Kila ukitaka kuacha wapi... Addictions ni mbaya jaman
Usipoangalia kwa mentality uliyonayo ushoga utakuathiri wewe kuliko wao? haya vipi Qatar aliyekuwa wa kwanza kutoka?vipi Tunisia?Canada wanna support ushoga mapema tu washatoka, bado mashost zake USA na England .. hawa hawavuki makundi
DuuuhMessi my only tue love,[emoji8][emoji8][emoji8][emoji8][emoji8][emoji8][emoji8][emoji8][emoji8][emoji8]
Sisi tunaangalia yale matimu yanayosupport ugasho. Hao akina qatar na Tunisia ni udhaifu wa timu zao.Usipoangalia kwa mentality uliyonayo ushoga utakuathiri wewe kuliko wao? haya vipi Qatar aliyekuwa wa kwanza kutoka?vipi Tunisia?
[emoji123]Timu Spain hapa.
Kumbe watu wanasepa kujilia mema na hamsem,wacha niitafte libya kwanza sasaHuwa wapo wanaopitia Morocco ila wengi wanapitia Libya ambapo hakuna Ulinzi.
Kua addicted,uraibu nauogopaUnaogopa nini?
Shukrani ChiefNdio wataonesha, nenda hapa kuna picha download, kulipoandikwa FTA ndio mechi wanazoonesha.
Poland atamla kichwa ajentina, German leo anaweza iaga safari, burazili atafuzu ila robo faino hatoboi.Itapendeza Germany amfunge spain leo
Afu Game zinazofuata
Costarica Amfunge Germany
Japan Amfunge spain
Sio mbaya pia
Poland akimfunga Argentina
Nibaki na Adui mmoja France kwenye 16 bora
Maombi ya shabiki wa BRAZIL
Sent using Jamii Forums mobile app
Tunisia Hajatoka.Usipoangalia kwa mentality uliyonayo ushoga utakuathiri wewe kuliko wao? haya vipi Qatar aliyekuwa wa kwanza kutoka?vipi Tunisia?
Let wait & seePoland atamla kichwa ajentina, German leo anaweza iaga safari, burazili atafuzu ila robo faino hatoboi.
Ndo maana watu wanaogeleaYupo sahihi bwana Morocco na spain ni KM 14 tu, mfano Znz ni km 40 kama sijakosea.
View attachment 2429297
View attachment 2429298
Hata akifungwa Ujerumani hatoki maana Japan kafungwa.Poland atamla kichwa ajentina, German leo anaweza iaga safari, burazili atafuzu ila robo faino hatoboi.
Hawana cha kupoteza 2026 wana ticket ya kuingia moja kwa moja.Canada wanatia huruma....
Yes kaa utulie maana siku zote mshindi ni mhindiMe mwenyew nataman lakin wakali wa kubet hua hawashaur mtu afanye hvo kama hajaanza. Tangu nmeanza omba ushaur hamna alienikubalia,so nmeacha ubishi wacha nitulie tu.
Wakifungwa mengi ndo wanaobet hufaidiCanada ni bure kabisa yanafungwa goli nyingi ivo
Na wengi hufia Libya kabla hawajafika mbali.Huwa wapo wanaopitia Morocco ila wengi wanapitia Libya ambapo hakuna Ulinzi.