Babu unafananisha wc na NBC ligi haupo serious kweliKama upo hom unaangalia wc. Fanya kama unabadilisha channel na kuweka Azam sport1 mechi ya kmc na T. Prison Yani utahisi unaangalia singeli huku bongo, pira limepooza[emoji3061]
Sasa Rudi Qatar uone vibe lake
Tz au Africa bado sn kimpira.
Yuko Bunju anaanika suruali ya MgundaOkrah anacheza hii mechi
Kocha anataka kila mtu acheze lakini sometimes sub zinagharimuNini sasa, Kudus kutolewa nje
Hakuna goli linalorudi ngoma ishalala hioChupu chuph tupigwe
Hawa Korea ni hatari wanashambulia kama nyuki
Yuko Bunju anaanika suruali ya MgundaOkrah anacheza hii mechi
Nini lakini π€£π€£π€£Yuko Bunju anaanika suruali ya Mgunda
Hakuna goli linarudi tunashipiga Nyanga za kutosha huku tunabana mbupu hadi kieleweke, Korea hawarudishi hata kwa bahatiNimekaa paleeee
Daah nimerudia kusoma nacheka tu mwenyewe wahuni mna maneno balaa..Yuko Bunju anaanika suruali ya Mgunda