Argentina yatwaa ubingwa Kombe la Dunia - Qatar 2022

Argentina yatwaa ubingwa Kombe la Dunia - Qatar 2022

Kama upo hom unaangalia wc. Fanya kama unabadilisha channel na kuweka Azam sport1 mechi ya kmc na T. Prison Yani utahisi unaangalia singeli huku bongo, pira limepooza[emoji3061]

Sasa Rudi Qatar uone vibe lake

Tz au Africa bado sn kimpira.
Babu unafananisha wc na NBC ligi haupo serious kweli
 
Back
Top Bottom