Argentina yatwaa ubingwa Kombe la Dunia - Qatar 2022

Argentina yatwaa ubingwa Kombe la Dunia - Qatar 2022

Mm Wala sioni shida ya Ronaldo wala messi Ni chuki tu kwa mafanikio yake ndio husda kwa wengi ila mm mreno Yuko Safi Sana nampenda Sana Kama nilivyompendaga Luis Figo enzi hzo
Cr7 ana ka u superiority flani ivi humu jukwaani naweza mfananisha na GENTAMYCINE maboya sana
 
Yule Joe Depox waliachana baada ya Joe kuwa na Jeff, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ila zile picha za CR7 ni mbayaa, sema hakuandamwaaa sanaa, huwa najiulizaga mbna haaandamwi hata hivyo wengi washa sahau.

Utasikia wengine mbna kaoa na ana watoto, utadhan wameambiwa shoga hawezi oa au kuzalisha. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sema wewe maana nikisema mimi naitwa hater
 
Back
Top Bottom