Argentina yatwaa ubingwa Kombe la Dunia - Qatar 2022

Kumbe na wee umemuona 🀣🀣🀣🀣 hii timu mdebwedo kabisa. Hazard anaitwaje kwenye timu wakati madrid hachezi.
Yale yale ya kim kumuacha mpole bench na kuanza na msuva ambaye hana timu. Makocha nao wanazingua kweli
Na anavaa kitambaa...
 
Kesho Morocco kushinda ni lazima, Canada hawana timu ya kuisumbua Morocco
Kitendawili kipo kwa Belgium na Croatia
Kuna kila dalili Croatia akilaa kwa shida 1-0 na hivyo Morocco kuwa top of the group akifuatia Belgium

Group E naona Spain akimfunga Japan na Germany akimfunga bao nyingi Costa Rica
Na hivyo Spain akiwa top of the group akifuatiwa na German
Round of 16 matches
Spain vs Belgium
Morocco vs German
 
TUNAKUMBUSHANA TU ARGENTINA MARA YA MWISHO ANACHUKUA KOMBE LA DUNIA HAKUNA HUMU ALISHUHUDIA
VIVA AUSTRALIA [emoji91][emoji91][emoji91][emoji91]
 
Hivi Saudi Arabia waliwatunguaje Argentina? mbona ni timu dhaifu mno hata kuliko Qatar

Mbona wanacheza vizuri sana mkuu

Sema tu hawana finishing nzuri

Ila wana mchezo mzuri sana

Hata poland waliwachezea vizuri
 
Miaka ambayo Argentina alibeba ndoo...hali hii ilitokeaView attachment 2432024
Mkuu unataka kusema hizi statistics hazina mchango πŸ‘‡πŸΏπŸ‘‡πŸΏπŸ‘‡πŸΏπŸ‘‡πŸΏ

Messi has taken 137 penalties for club and country across his glittering career, with 106 scored and 31 missed, including the latest in the 2022 World Cup against Poland. That's a 77 percent success rate


It's even uglier, however, in his World Cup career. Messi's penalty attempt against Poland was his third in a World Cup, and he's only scored one, which came in the 2-1 defeat to Saudi Arabia earlier this tournament. He also missed one in the 2018 World Cup in a 1-1 draw with Iceland in the group stage.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…