Argentina yatwaa ubingwa Kombe la Dunia - Qatar 2022

Uongo mtupu
 
Ni kweli hii michezo ipo hata jana France wamechezea watu akili
 
Kocha wa Agentina sio mzuri kwenye kuchagua kikosi
Wait what?Unaeza niambia kwa nini jana kaanza Alvarez baada ya lautaro au enzo fernandez pale kati? Vipi kuhusu subs zake,zinamlipa? Scaloni ni tactician mzuri tu!.Kama unawafatilia Argentina huyo martinez hakuwa starter kwenye CB pairing ya Argentina.Martinez hata asipo anza still Argentina defensively wapo compact sana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…