Selikavu
JF-Expert Member
- Jul 14, 2017
- 6,346
- 14,546
😀nitaenda kulipokeaTutamwalika kwenye parade wakati kombe linatua buenes aires[emoji16]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😀nitaenda kulipokeaTutamwalika kwenye parade wakati kombe linatua buenes aires[emoji16]
Shukrani mkuu Umesomeka vyema
England wana Mpira wa Mdomoni sana na wakishinda hili utakumbushwa miaka milioni moja ijayo kama vile mpaka leo wanakumbushia 1966 yaani kwenye uzi wao wana nyota moja tu hata Euro hawajawahi kuipata;Wanaupiga mwingi mkuu (rekodi yao ni semi final wc2018, fainali euro2020)
Sio wa mchezo mchezo
Mimi sio shabiki wao
Ila wana uwezo mkubwa wa kucheza na timu hizo kubwa na kuoata matokeo
Ila tuone mechi yake na Senegal tutajua zaidi
Green Beret
Huyu ndio mtaalamu Eusebio bila Figisu za England wakiwa kwao huenda mpaka leo wangekuwa hawajawahi kushinda Kombe lolote la kimataifa (eti Football is Coming Home.....)
In short vigisu zilikuwa mwanzo mwisho hata kwa Europeans teams kwa mabara mengine piaEngland walifanya figisu nyingi sana ili watwae WC ya 1966 katika ardhi ya nyumbani. Walihamisha mechi yao ya nusu fainal dhidi ya Ureno masaa 24 kabla ya mechi. Hiyo ni baada ya Ureno kusafiri kutoka London kwenda Jijini Liverpool huko Merseyside na walipofika wakaambiwa warudi London mechi itapigwa Wembley sio tena Goodison Park
Yaani hawa jamaa / Hooligans wanajifanya Gentlemen wakati ushindi wao ulikuwa ni wa figisu mwanzo mwisho (ila huwezi kusikia Muingereza anaongelea haya)..., Ni kulaani tu Goli la Mkono la Armando Diego MaradonaAlready Brazil had been knocked out of the tournament in the group stage. Their best player, Pelé, was kicked so much in the first game against Bulgaria (“I think every team will take care of him in the same manner,” said their coach) that he could play no part in the second, a 3-1 defeat by Hungary when Brazil had two goals disallowed, and he then spent much of the third as a virtual spectator after Portugal’s João Morais fouled him and, when he tried to get up and play on, fouled him again a bit harder. Morais was not cautioned. Brazil’s first game had been refereed by a West German, the other two by Englishmen.
Wazee haoSergio ramos
Kante
De gea
Salah
Pogba
Ibrahmovic
Sadio mane
Halaand
Hawa wangekuepo ingenogajeeee
Degea angeshaichomesha spainSergio ramos
Kante
De gea
Salah
Pogba
Ibrahmovic
Sadio mane
Halaand
Hawa wangekuepo ingenogajeeee
Kuna mdau alitupia mchanganuo wa TBC kuonyesha mech tafadhar atume tena au leo game ip itaonyeshwa na muda gan??
Yaani aombe radhi kwa kuipa nchi yake nafasi / chance ? Alishapata Hukumu yake ambayo ni Kadi nyekundu..., hao watu wanaolaumu huku ni hypocrites kusahau hand of god za kina Diego au England walivyochukua Kombe kwa Umafia...Suarez kasema sio shida zake Ghana kukosa Penalty 2010 kwhy hawez kuomba radhi hata iweje,kasema Leo kwny Press conference yao.
Ghana wakitk kulipa kisasi ni kuwatoa tu Uruguay basi.
Huko matumizi ya umeme ni madogo hivyo hawaoni sababu ya kuwakatiaUmeme ukikatwa hauchukui nusu saa kwa eneo naloishi mimi ila nadhani..Dom.nzima haina shida
Hakika mwnyw sioni sabb za yy kuomba radhi nafas walipewa penalty wakapaisha.Yaani aombe radhi kwa kuipa nchi yake nafasi / chance ? Alishapata Hukumu yake ambayo ni Kadi nyekundu..., hao watu wanaolaumu huku ni hypocrites kusahau hand of god za kina Diego au England walivyochukua Kombe kwa Umafia...
Lawana ziende kwa Asamoah Gyan.....
Croatia amgonge Belgium ili atoke.Jamani Croatia na Belgium nani anashinda?
Nataka tathmini mkuu,ni nani ana possibility ya kushinda?Croatia amgonge Belgium ili atoke.