Makari hodari
JF-Expert Member
- May 17, 2022
- 3,339
- 6,666
Tutakuwa tumeshakufa wote humu! Hizo ni story za miaka ya elfu tatu(3000+) au elfu tano(5000+) mpaka elfu saba(7000+) huko😂Hii hii mkuu, hayo yote yatapita tu na siku moja tushiriki world cup.
Kikosi hiki wamedhamiria kuua au?! 🥺😢😳Brazil makes 10 Changes
Ederson comes in for Alisson while Alex Telles and Dani Alves start along with Liverpool midfielder Fabinho and Manchester United's Fred.
Gabriel Jesus starts up top in place of Richarlison with Antony and Rodrygo in for Raphinha and Vinicius Junior.
Brazil starting XI: Ederson, Telles, Bremer, Militao, Alves, Fred, Fabinho, Martinelli, Rodrygo, Antony, Jesus
Mkuuuu nimecheka sanaaa unaongelea habari za miaka elf kweli mkuuuu upo seriously kweliTutakuwa tumeshakufa wote humu! Hizo ni story za miaka ya elfu tatu(3000+) au elfu tano(5000+) mpaka elfu saba(7000+) huko[emoji23]
Ingawa kwao hio ni timu B wengine hata timu yao A haifikii hapo..., tena hawa watakuwa na shauku ya ku-prove the point... Yaani hata Jesus kwa Brazil ni Reserve...Kikosi hiki wamedhamiria kuua au?! 🥺😢😳
Umerudi au bado uko chobsSawa nakubari babe
Shika adabu yako kijana niite aunt/ mamdo nyau wewe![emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ujambo ww binti wa kibrazil
Ndo kilichowacost..kumbe tunawaza sawa basi na mm ni mwanamichezo kweri kweriHawa watoke tu, kamwe usiende pigana na mtu kwa kutaka lipiza
Ongezea France sema Tunisia alishindwa kubebekaIla Spain na Portugal wamepanga matokeo,hakuna ubishi
Bebe upooo..leo silali mpk niangalie Brazil au ww timu gani?Shika adabu yako kijana niite aunt/ mamdo nyau wewe!
Ngoja tuoneee! Hili kombe awamu hii halitabirikiiiiMuda wa mabingwa wa kombe la dunia sasa Brazil
Cameroon andaeni tu Ndege yenu pembeni ya uwanja NDOIGE inawahusu [emoji91][emoji91]
Mbali na kutuacha kisoka wametuacha mambo tele! Kanuni ni kwamba aliyekuzidi vikubwa hata kidogo atakuzidi tu... tusishangae timu za west Africa kucheza michuano mikubwa miaka yote, wale picha linaanza hata GDP zao na zetu wapenda majungu huku ziko tofauti... hayo ni maswala ya kiuchumi tu, wametuzidi hata tukienda kisoka obviously watakuwa juu kutuzidi sisi.Hivi tanzania mbona tumeachwa mbali sana na hizi timu za wa africa wenzetu walioshiriki world cup ??
Sijui kama tumejifunza kitu
Mi mwenyewe nashabikia Brazil sis! Halali mtu hadi uisheeBebe upooo..leo silali mpk niangalie Brazil au ww timu gani?
Sisi tupo tuna mwaga unga uwanjani na kuzindika jezi hahahahHivi tanzania mbona tumeachwa mbali sana na hizi timu za wa africa wenzetu walioshiriki world cup ??
Sijui kama tumejifunza kitu
Kabisaa leo uafrica tunauacha pembeni leo ni dada zao kina NeymarMi mwenyewe nashabikia Brazil sis! Halali mtu hadi uishee
Alikamia hlf kumbe yy ndo anaenda kosa tuta.Pamoja na mikwara yote lakini wapiView attachment 2433789
Sisi hatujifunzagi kitu. Hutujui wwHivi tanzania mbona tumeachwa mbali sana na hizi timu za wa africa wenzetu walioshiriki world cup ??
Sijui kama tumejifunza kitu
Kabisa sis!Kabisaa leo uafrica tunauacha pembeni leo ni dada zao kina Neymar
Hushabikii Kaka zako Cameroon!!??Mi mwenyewe nashabikia Brazil sis! Halali mtu hadi uishee