Argentina yatwaa ubingwa Kombe la Dunia - Qatar 2022

Argentina yatwaa ubingwa Kombe la Dunia - Qatar 2022

VAR
JamiiForums1355442301.jpg
JamiiForums-1096030812.jpg
JamiiForums2130804591.jpg
JamiiForums435594695.jpg
Screenshot_20221202-225756.jpg
 
Haha..!
Bora yako wewe, me nimewafahamu Brazil WC ya 2006 nikiwa primary tunarundikana tu sebuleni kuwashangaa enzi ya kina Kaka, Dida, Ronaldo, Ronaldinho etc...!!

Fainali yake Zidane akapiga mtu kichwa..!! 😂😂
Basi hatuchekani sana hahah labda nimekupita fainali moja na mm nikiwa shule ya msingi..ila Depal itakua kaanza fainali ya 2014 au 2018...ngoja anisikie
 
Back
Top Bottom