Yap, hakuna walicho sahau
Dah jamani[emoji3064]Yap, hakuna walicho sahau
Viongozi waliokuwa nje ya uwanja walikuwa wanafatilia mechi mbili, ya kwao na ile ya Serbia na Uswizi
Walivyoona hakuna muelekeo wa timu wao kufuzu, walianza kupiga simu makwao kuwa msosi wa kesho mchana watalia huko huko kwao kwa hiyo wakumbuke kuongeza maji ya ugali
Ukimuondoa luis enrique wa spain, sijaona kocha mwengine wa timu ya taifa mwenye mbinu za uhakika.
Makocha wengi wa timu za taifa ni wababaishaji.
Labda ni kwa sababu ya kukosa muda wa kutosha wa kuandaa timu.
Hakika Jombaa. Spain wanakosa mmaliza kazi mzuri mwisho kule. Mchezo wao na Morocco naiona safari yao ikiishia hapo.Ukimuondoa luis enrique wa spain, sijaona kocha mwengine wa timu ya taifa mwenye mbinu za uhakika.
Makocha wengi wa timu za taifa ni wababaishaji.
Labda ni kwa sababu ya kukosa muda wa kutosha wa kuandaa timu.
Uswizi ana points 6Dah jamani[emoji3064]
Nani kawazidi points tena?
Sent from my TECNO CG6 using JamiiForums mobile app
Hii ndio kitu muhindi anapenda kuisikiaMikeka imechanikachanika leo
Senegal na Morocco huna habari nazo eeh!!?
Yap washatokaWait, kwamba Cameroon wametolewa??
Mechi zake sikuangaliaSenegal na Morocco huna habari nazo eeh!!?
Kwa muhindi ni shangwe leoHii ndio kitu muhindi anapenda kuisikia
Kuna watu wanaangalia mpira kimazoea. Mpaka sasa timu bora ya hii michuano ni Morocco.Watu wanaodhan Spain kapata unafuu hawajawaona Morocco.. Spain iyo game anaweza omba abadilishiwe apewe ya Croatia sik iyo.
Chupi ya nini mzee miaka hii?
Alaa!!