BUSH BIN LADEN
JF-Expert Member
- Mar 16, 2019
- 8,447
- 19,425
Neymar alipaswa kumiss game 2 tu nadhani zinazofata atachezaFrance wapo hovyo, Brazil nao naona kama kukosekana kwa Neymar kume waathiri sana.
Mimi Morocco na itizama lwa jicho jingine kabisa japo hapewi nafasi lakini wale watoto wanaupiga mwingi.