Argentina yatwaa ubingwa Kombe la Dunia - Qatar 2022

Mapungufu kwenye mechi yalionekana ila ukiangalia mechi ya kwanza mpaka hii ya nne dhidi ya australia gari inawaka polepole

Alvarez anaweza kuwa mtoto mwenye bahati this time


Kocha wa argentina bado ananipa wasiwasi
 
Mkuu unajieleza sana lakini ukweli messi hana world cup

Hata hzo record alizonazo messi bila wachezaji wenzake asingezipata coz hawezi kujigawa

Simply umeandika Non sense

Sent using Jamii Forums mobile app
Kwahyo ukipewa Haaland na Giroud uchague mmoja kwenye timu yako unachukua Giroud kisa ana world cup?
 
Kwahyo ukipewa Haaland na Giroud uchague mmoja kwenye timu yako unachukua Giroud kisa ana world cup?
We una complicate mambo ....Vitu vidogo ambavyo havihitaji hata kutumia nguvu unavifanya viwe vikubwa

Umesema Messi anakila kitu nkakukumbusha kwenye carrier yake hajawahi kuwa na world cup

Sasa sijui Halland na huyo Giroud umewaingiza wa nn

Hata uwe mchezaji wa ubora wa hali ya juu kuna vitu ukivikosa kwenye maisha yako ya soka utajiona huna thamani

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ndugu zangu usiku wa kuamkia leo nimeota Fainali kacheza Argentina na timu fulani na timu mojawapo ikabeba ubingwa wa dunia kwa bao mbili "2" kwa moja "1"... yaani 2-1 kwa lugha ya kimpira au kimaandishi. Na kwenye hiyo timu ambayo wamebeba ubingwa kuna nyota wao anachukua mchezaji bora wa dunia mwaka ujao yaan (Ballon d' or)

Dua zenu wapendwa ndoto itimie niingie kwenye unajimu rasmi 😂... huenda ni wito huu

ANGALIZO!:- SIO UTANI INGAWA NIMEFIKISHA HAPA KWENYE HALI YA UTANI... ila hiyo timu iliochukua ubingwa nilivoamka niliumia sana kwann imechukua maana siwapendi balaa! 😂
 
Kwanini uwe uganga (wakala wa shetani) badala ya Unabii (wakala wa Mungu)?

Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…