Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Namuonea huruma sana Son ,kumbe anakosa Kombe la Dunia ! upambanaji wote ule ataangalia kwenye Kideo...
Japo kocha wake wa timu ya taifa anataka amuite hivyo hivyoNamuonea huruma sana Son ,kumbe anakosa Kombe la Dunia ! upambanaji wote ule ataangalia kwenye Kideo...
Beki kidogo inatia shaka hasa upande wa kulia ila huko mbele ni hatari sana!!Tite ana squad depth kali sana,yaani akishindwa kuperform itakuwa ni maajabu ya mpira tu.ila naamini atatoa challenge kubwa kwa team pinzan
Huwa wanakimbiza mwizi kimya kimyawenye kombe letu Germany tunawachora tu
Yah kikosi kipi hapo juuNasikia Brazil Firmino na Gabriel wa Arsenal wameachwa
Nimekiona sasa ,kweli hawapo siriaz mpaka Teles yupo duh!Yah kikosi kipi hapo juu
Italia???[emoji23]Namuonea huruma sana Son ,kumbe anakosa Kombe la Dunia ! upambanaji wote ule ataangalia kwenye Kideo...
Gabriel Jesus ameitwa, Firmino ndiye hajaitwaNasikia Brazil Firmino na Gabriel wa Arsenal wameachwa
Yeah jesus na martinellGabriel Jesus ameitwa, Firmino ndiye hajaitwa
Tunisia ndio sina imani nao kabisaaa. Hawa makundi tuu wanaaga mashindanoTunisia , Ghana na morroco zikitoboa kwenye makundi yao
mniite mbwa nmekaa palee varandani
Ghana na Tunisia zitafurumushwa virago mapema kabisa.( Very dangerous groups)
Senegal akikaza sana ataweza kuishia robo
Cameroon tusubiri kikosi
Sent using Jamii Forums mobile app