Argentina yatwaa ubingwa Kombe la Dunia - Qatar 2022

Argentina yatwaa ubingwa Kombe la Dunia - Qatar 2022

Zile hadithi za team ya china kubadilisha kikosi kizima half time zilivumishwa na hawa jamaaa.
Teh teh teh
1668935197858.png
 
Yaani iko hivi kwa Greenwhich meridian Time (GMT) ni saa 8 mchana huu, Indian standard Time (IST) ndio saa 7:30PM inamaana kwetu EAT ni saa 11:00 jioni

b'se tumeizidi GMT masaa 3 na IST wametuzidi Masaa mawili na nusu

Labda kama kuna changes
Thanx.... understood
 
Mubasharaaa World Cup

2010 ✅ nilikuwa mubashara nyumbani enzi za sekondari.. lilinitokaga chozi baada ya Asamoah Gyan kuvuruga 🥲

2014 sikuwa mubasharaaa

2018 nilikuwa mubashara chuo

2022 niko mubasharaa ghetoo 🤸
Depal kumbe kwenye game kitambo eeh..
Unashabikia timu gani kwanza
 
Nilkuambia mkuu, mashabiki wengi wa Simba ni mbumbumbu
Mbona mnaharibu uzi? sasa mambo ya utopolo na makolo humu ya nini?

Mbona na nyie mlisema kikosi chenu mmesajili kama mnaenda kucheza world cup? Au tuwaite hamna akili? Hebu acheni usimba na uyanga humu. Umeleta uzi mzuri stick to that
 
Mungu wasaidie Argentina wabebe kombe tusijekosa ushahidi wa kukieleza kizazi kijacho kuwa Lionel Messi ndio mchezaji bora kuwai kutokea katika hii sayari ilihali Hana hata kombe moja la Dunia... Japo kwa wakati huu tu simama na Argentina simama na Messi tunafahamu Wana uwezo wa kuchukua kombe kutokana na ubora wa kikosi Chao shida mpira una tuvitu vitu Sana ndio Maana tunakuomba usimame nao
Mungu simama na senegal tutashindwa kusema kuna magwiji walitokea africa ilihal hawajawah kuchukua kombe la dunia. I stand with Africa in this champions
 
Mbona mnaharibu uzi?.sasa mambo ya utopolo na makolo humu ya nini? Mbona na nyie mlisema kikosi chenu mmesajili kama mnaenda kucheza world cup? Au tuwaite hamna akili? Hebu acheni usimba na uyanga humu. Umeleta uzi mzuri stick to that...
Mimi ni Simba wala sio Yanga! Afu kitu kikiwa hakikuhusu usipende kukijadili mkuu
 
Watoto wa kike wako 🇧🇷 sababu ya kuangalia tu hao cute boys 🤣🤣🤣


Cc Kalpana
Yani toka elfu mbili na ushee nashabikia brazil enzi hizo kina kaka, kina Rivaldo, kina Roberto carlos, kina ronaldinho, kina wengii kwa kipindi tofauti tofauti.

Ronaldo de Lima alikua na sura personal lakini tulikuwepoo. 😆
 
Back
Top Bottom