Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hii nchi iko siku tutapigana ngumi za bila hurumaTanseco washafanya yao😞
Pamoja mdogo akeee😍Shabiki ile ilee dada 🔥🤸
Wishes zako za 2018 zinaweza timia huu mwaka 😋
Thanx.... understoodYaani iko hivi kwa Greenwhich meridian Time (GMT) ni saa 8 mchana huu, Indian standard Time (IST) ndio saa 7:30PM inamaana kwetu EAT ni saa 11:00 jioni
b'se tumeizidi GMT masaa 3 na IST wametuzidi Masaa mawili na nusu
Labda kama kuna changes
Depal kumbe kwenye game kitambo eeh..Mubasharaaa World Cup
2010 ✅ nilikuwa mubashara nyumbani enzi za sekondari.. lilinitokaga chozi baada ya Asamoah Gyan kuvuruga 🥲
2014 sikuwa mubasharaaa
2018 nilikuwa mubashara chuo
2022 niko mubasharaa ghetoo 🤸
Tozi ila anakiwasha. Akakutane na kaka yake Mess fainali hahaha
Mbona mnaharibu uzi? sasa mambo ya utopolo na makolo humu ya nini?Nilkuambia mkuu, mashabiki wengi wa Simba ni mbumbumbu
Mungu simama na senegal tutashindwa kusema kuna magwiji walitokea africa ilihal hawajawah kuchukua kombe la dunia. I stand with Africa in this championsMungu wasaidie Argentina wabebe kombe tusijekosa ushahidi wa kukieleza kizazi kijacho kuwa Lionel Messi ndio mchezaji bora kuwai kutokea katika hii sayari ilihali Hana hata kombe moja la Dunia... Japo kwa wakati huu tu simama na Argentina simama na Messi tunafahamu Wana uwezo wa kuchukua kombe kutokana na ubora wa kikosi Chao shida mpira una tuvitu vitu Sana ndio Maana tunakuomba usimame nao
Mimi ni Simba wala sio Yanga! Afu kitu kikiwa hakikuhusu usipende kukijadili mkuuMbona mnaharibu uzi?.sasa mambo ya utopolo na makolo humu ya nini? Mbona na nyie mlisema kikosi chenu mmesajili kama mnaenda kucheza world cup? Au tuwaite hamna akili? Hebu acheni usimba na uyanga humu. Umeleta uzi mzuri stick to that...
Yani toka elfu mbili na ushee nashabikia brazil enzi hizo kina kaka, kina Rivaldo, kina Roberto carlos, kina ronaldinho, kina wengii kwa kipindi tofauti tofauti.
Tanseco washafanya yao[emoji20]
That's good for you patriotism matterMungu simama na senegal tutashindwa kusema kuna magwiji walitokea africa ilihal hawajawah kuchukua kombe la dunia. I stand with Africa in this champions
Long time sana asee natumaini uko poa. Hapo sawa sasa. Ila sijuagi uliwaza nn kushabikia Chelsea 🤣🤣Kama yako mwanangu 🤣🔥
Nimetoa ushauri kama huupendi basi sorryMimi ni Simba wala sio Yanga! Afu kitu kikiwa hakikuhusu usipende kukijadili mkuu