ndammu
JF-Expert Member
- Apr 21, 2017
- 3,971
- 4,440
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Shida nini Malkia wa Ndoto zangu😂😂Mbavu zangu [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji119]
Bro sheria za offside naona zinakusumbua mtu wa mwisho sio lazima awe kipa ni mchezaji yoyote watimu inayoshambuliwaMkuu hujanielewa, yaani hao wenye nyekundu mchezaji wao ndio alikuwa wa mwisho angalia vizuri picha hizo.. sasa imekuwaje offside ilhali timu shambuliwa ndiyo ilikuwa na mchezaji wake mwishoni?
Nimeona jamaa Ni mtu wa MoshiHassan Afif mtoto wake ndio huyo anayecheza QatarView attachment 2422464
Unadownload app google then unaenda play stpre unadowmload yaccine player unakua umemaliza.
Hahahha ni kweli tuenjoy game, hatutakiwi kuwa wanyonge hata kama wanatuzidi kila kitu.Mimi mwenyewe ni mweupe ila nakushangaa wewe mweusi kwanini hujikubali hata kwa kidogo ulichonacho,
Btw, tupo kwenye mpira enjoy game
Nimeshaeleweshwa kwenye uchambuzi, ila kwa unachokieleza hapa sio sahihi kulingana ma mazingira ya Hilo tukio. Kwa kuwa kipa alitoka kucheza MPIRA, mchezaji wao akawa nyuma ya goalkeeper hivyo alitakiwa awepo mwingine walau wawili na si mmoja kama iliyokuwa kwa tukio hiloBro sheria za offside naona zinakusumbua mtu wa mwisho sio lazima awe kipa ni mchezaji yoyote watimu inayoshambuliwa
halina shida kuna watu washakula pesa za mfalme awataki kuharibu bado mfalme anapesa chafu za kugawa mpaka mwisho wa WC.Hili Goli Lina Shida Gani
Najiuliza what for?[emoji23][emoji23]TBC muda wa mapumziko wamemuweka Nape[emoji23]
Naam,Hii ni verse ya wimbo flani hivi wa Bob
Dstv appUnatumia app gani kwenye simu kwa ajili ya kuangalia?
Sent from my SM-N9150 using JamiiForums mobile app
Nadhani ni Uingereza😂😂Kesho timu ya wapiga kelele inacheza
Hiyo game Senegal anashindaTBC washasema huko kesho wanaonyesha mechi moja Senegal Vs Holland
Sio kirahisi hivyoHiyo game Senegal anashinda
Africa nzima itaaangalia Hiyo game