Interlacustrine E
JF-Expert Member
- Jun 3, 2020
- 3,397
- 6,015
Mpira wa miguu si kwaajili ya kila nchi duniani [emoji87]Bye Bye Muarabu,
Masharti kibaooooooooo uwanjani sifuri [emoji2960]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mpira wa miguu si kwaajili ya kila nchi duniani [emoji87]Bye Bye Muarabu,
Masharti kibaooooooooo uwanjani sifuri [emoji2960]
Ni wazuri ila kwenye kundi lao ni lazima watoke.
Kama huyu jamaa alikuwa na miaka 17 unashindwaje kuamini huyo ana 23?[emoji846]View attachment 2422518
Asante mkuuYah, mtu wa Moshi ni Mix msomali. Cheki wikipedia.
🤣🤣Wakaswali insha sasa[emoji16]
Qatar hataokota hata pt moja. Wapinzani wake wako juu sana. Atakachofaidi ni kushiriki tu.Ila bado ana mechi mbili zingine kuprove otherwise. Hata kama kiukweli ana mpira kungu sana..
Senegal ingekuwa na supper star wao Mane ningewapa bet yangu ila kundi hili ataongoza mholanzi Ecuador ya piliNi wazuri ila kwenye kundi lao ni lazima watoke.
Labda la WhatsApp.Hivi Tanzania wapo kundi gani
Sasa mbona wanacheza kama Ngada FC?Unadhan wana njaa ya bahasha hao?
Na kutuzalishia mafutaKona moja dakika ya 95..timu gani hii..wabaki kutuhudumia kwenye ndege tu
Nimekubaliiiii [emoji119]Mpira wa miguu si kwaajili ya kila nchi duniani [emoji87]
Hizo zingine ndio atazidi kupigwa Ndoige yeye aendelee kusimamia Shughuli kucheza awaachie wageniIla bado ana mechi mbili zingine kuprove otherwise. Hata kama kiukweli ana mpira kungu sana..
Copa America ya juzi tu hapa, walipakatwa sebuleni kwao na wanaume wa kuitwa Argentina wakiwa full mkoba. Unaongelea kikosi B kipi?Kona moja dakika ya 95..timu gani hii..wabaki kutuhudumia kwenye ndege tu