Greatest Of All Time
JF-Expert Member
- Jan 1, 2017
- 23,620
- 52,790
- Thread starter
- #1,401
🤣🤣
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
South 2010 alikuwa na hadhi ya kucheza WC?Qatar hawana hadhi ya kucheza kombe la dunia
Mashindano kufanyikia nyumbani ndo kumem'beba
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwahiyo nawewe ulitaka waruhusu kufukuana mitaro?Bye Bye Muarabu,
Masharti kibaooooooooo uwanjani sifuri [emoji2960]
Wote wale wale tuSouth 2010 alikuwa na hadhi ya kucheza WC?
Nikipata kile kipande walichoonesha marejeo kwa 3D nitaku tagNieleweshe mkuu, huenda nikapata kitu. Samahani lakini
Sawa mkuuNikipata kile kipande walichoonesha marejeo kwa 3D nitaku tag
23 yrs 😁😁[emoji846]View attachment 2422518
Ila Qatar ndio hamna kitu, huyo south Africa walau anaongelekaWote wale wale tu
Kipa wa Singida Big Stars
[emoji28][emoji23][emoji1787][emoji1787]View attachment 2422541
Saa 7 MchanaWazee hivi mda wa mechi kila siku ni saa ngapi?
Nataka nijue ni vipi nitaweza kubalance ratiba yangu.
Sisi na Qatar tunaendana muda, kuna Mechi za saa kumi, za saa moja usiku na usiku sana saa 4.Wazee hivi mda wa mechi kila siku ni saa ngapi?
Nataka nijue ni vipi nitaweza kubalance ratiba yangu.
Kesho saa 1 Senegal wanachezaTupeane fixture ya mechi zinazofata na muda
Sasa south anaongeleka vipi wakati ndio timu ya Kwanza kuandaa WC na kutoka hatua ya makundi?Ila Qatar ndio hamna kitu, huyo south Africa walau anaongeleka
Hawa majamaa wajikite tu kwenye airlines huko naona wanafanya vizuri sana na Qatar airways
Yes, kwani kutakuwa na mechi moja tu kama leo?Kesho saa 1 Senegal wanacheza
Ndio kesho mechi Saa 1 ni 1Yes, kwani kutakuwa na mechi moja tu kama leo?
Ishu alicheza na nani?Sasa south anaongeleka vipi wakati ndio timu ya Kwanza kuandaa WC na kutoka hatua ya makundi?
Kuna mechi 3 kesho.Yes, kwani kutakuwa na mechi moja tu kama leo?