Argentina yatwaa ubingwa Kombe la Dunia - Qatar 2022

Argentina yatwaa ubingwa Kombe la Dunia - Qatar 2022

🤣🤣
08F98428-B736-407D-BEF0-F205CD515917.jpeg
 
Wazee hivi mda wa mechi kila siku ni saa ngapi?
Nataka nijue ni vipi nitaweza kubalance ratiba yangu.
 
Ila Qatar ndio hamna kitu, huyo south Africa walau anaongeleka

Hawa majamaa wajikite tu kwenye airlines huko naona wanafanya vizuri sana na Qatar airways
Sasa south anaongeleka vipi wakati ndio timu ya Kwanza kuandaa WC na kutoka hatua ya makundi?
 
Back
Top Bottom