Nilufer
JF-Expert Member
- May 10, 2012
- 9,603
- 13,654
Tanesco jau sanaHii nchi Tanesco kaz sana Yan hata kua na ustarab kipind hiki watulie watu wapate burudan ya soka.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tanesco jau sanaHii nchi Tanesco kaz sana Yan hata kua na ustarab kipind hiki watulie watu wapate burudan ya soka.
Huu ndio ukweliQatar wanaweza kutoka group bila point. Kkkkkk
Kesho si mechi ya kukosa kwa hii groupHuu ndio ukweli
Pole. Nimeangalia kwa niaba yako.Daah nimekuwa na Siku mbaya leo...nimeshindwa hata kuangalia mechi ya ufunguzi!!
Asante mkuuPole. Nimeangalia kwa niaba yako.
Muda ushamtupa mkono.Huyu jamaa alikiwasha sana, huko mbeleni akiwa na moto huu huu nadhani ma agent lazima wagombanie saini yake
Yaani hapa senegal anapaswa ampige huyu sio chini ya goli tatu maana kupita kwake kutakuwa kati yake na equadoQatar wanaweza kutoka group bila point. Kkkkkk
Kwa kweli hali ni mbaya sana. Sasa sie wazee wa jobless tulijia huu mwenzi ni kukaa kwa tv tuu kumbe tanesco nao hawataki tupate rahaPengine linaweza kuwa kombe la dunia ambalo wengi wetu tutakuwa tunapata tu matokeo kutokana na hali halisi ya umeme
Sasa south anaongeleka vipi wakati ndio timu ya Kwanza kuandaa WC na kutoka hatua ya makundi?
Inaweza kweli walitoa lakini sasa timu yenyewe ata kwa penalty area ya wapinzani haifiki utafanyaje hapoNILIONA MITANDAONI KUWA RUSHWAA KAMA KAWAIDA ILITEMBEZWA KWA EQUADOR NATIONAL TEAM ILI IFUNGWE TUU NA QATAR SO KIMETOKEA HICHO SO KUMBE SIO KWELI !??
Daah nimekuwa na Siku mbaya leo...nimeshindwa hata kuangalia mechi ya ufunguzi!!
Mkuu achana na waarabu nakushauri mapema....
Usiweke mahaba kwa waarabu Wala waafrika watakupiga kitu kizito kichwani hutaamini
COINCIDENTAL POINT TO YOUR COMMENT : NI KWELI ASEEEE MAANA BALL POSITION. QATAR WALITAKALAKI , SO MENTARITY YA KUPASIA OPPONENT BALL SIOOO ILA DAH QATAR ATATOKA NA POINT ZERO , NETHERLAND ITASHINDA ZOOOTE. SENEGAL ITA LOOSE YO KWA NETHERLAND NA ITASHINDA THE REST ILA EQUADOR ( THANKS FOR THEIR ALMIGHTY SERVICE ZILIZO BAKI NI LOOSE TUU )Inaweza kweli walitoa lakini sasa timu yenyewe ata kwa penalty area ya wapinzani haifiki utafanyaje hapo