Waminyato
JF-Expert Member
- Jun 22, 2022
- 2,197
- 4,525
dooo!,,niko peke yangu maalim Waminyato.Uko wewe peke yako [emoji1787]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
dooo!,,niko peke yangu maalim Waminyato.Uko wewe peke yako [emoji1787]
Wanakeraa kinomaaa mambo ya kuwasha generator bhasii tu ...Tanesco bwana....haya hongereni
Mkuu kwani haya matatu wamefungwa si wakiwa wamepaki basi?Watakuja kupaki basi hawa jamaap
Unachosema ni sahihiMkuu kwani haya matatu wamefungwa wlsi wakiwa wamepaki basi
Nicho kigundua mfumo wa kupaki basi unafanya kazi kwa timu ambayo haina Quality ya wachezaji wakubwa
Upepo tu mzeeUlitisha mzee..
Iran wenyewe nadhani wanatamani itokee hivyoMpaka hii mechi inaisha Iran watakuwa wapigwa mabao 5 kwa nunge.
Ah mzabzab acha hizo bwana unatukosea kusema hatujui lolote..sie ni wataaramuna wa mizagamuano tunafanya vyema upande huo tafadhaliWewe sie hatujui lolote hapa duniani. Mpira wenyewe ndio kabisaaaa. U17 u20 u23 zote timu hazichezi afcon ndio utegemee kucheza wworld cup. Tuache utani
Safi sana, endelea kushabikia kilicho boraHaha 3🦁
Yaaani daaaah mpaka wananipa dhambi ndogondogo kwa kuitusi tanesco na SerikaliHuku kwetu tangu saa 1 asubuhi [emoji28]
Nani huyo kaweka rehani 150K kwa Ruvu ya Asia?
Na sisi pia. Nimwendo wa generatorHuku kwetu tangu saa 1 asubuhi [emoji28]
[emoji1130] wanatuma ujumbe
View attachment 2423216
🤣🤣🤣🤣🤣🤸Nasema Hiv Sisi Iran [emoji1130] Tutawashangaza Kipindi Cha Pili!Tunaingia Na Mpira Kujilipuwa![emoji41][emoji41]