Argentina yatwaa ubingwa Kombe la Dunia - Qatar 2022

Argentina yatwaa ubingwa Kombe la Dunia - Qatar 2022

Unafikiri tumeanza kuangalia mpira leo Mbwa Koko wewe?
Sasa ni mpira gani wanacheza Argentina na hao Saud?Mpira wa hovyo kabisa.
Angalia mpira ujifunze.
Kwamba huu mpira wa Argentina ndio mkubwa? We jamaa unaushabiki au ni mpnz wa mpira? Mpira huu ndio bingwa wa DUNIA??
 
Kwamba huu mpira wa Argentina ndio mkubwa? We jamaa unaushabiki au ni mpnz wa mpira? Mpira huu ndio bingwa wa DUNIA??
Huna akili ndio maana hata huelewi kinachoandikwa PIMBI.
PIMBI unashindwa hata kusoma kuwa nimeandika hakuna mpira unaochezwa kwa Argentina wala Saud..
PIMBI umekuja na agenda na bingwa wa Dunia.
PIMBI uwe unasoma PIMBI punguza nyege mshindo PIMBI utakufa mdomo wazi.
 
20221122_134528.jpg
 
Mkuu mashabaki wa Messi kwa kukuza mambo wako vzr, ngoja wakutane na timu pendwa Brazil tuone kama yaliyomo yamo, siyo hao saudia
Mpira mbovu, hata pasi 10 kufikisha mtihani, timu inapoteza mipira kisenge.
 
Back
Top Bottom