Scars
JF-Expert Member
- Apr 8, 2017
- 48,055
- 116,512
Tungesema makosa ya kibinadamuAisee ingekua bongo tungeuliza refa kapewa ngapi?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tungesema makosa ya kibinadamuAisee ingekua bongo tungeuliza refa kapewa ngapi?
Asante MkuuThe best ans for an illiterate ni kuignore. Tuenjoy boli mkuu
Tumia hesgoal ni uhakika zaiditwitter acc gani mkuu,na mimi nipo away from home.
Golini wameweka pazia tu au sio?Saudi hawana kipa 😂😂
Sawa PIMBI mkubwaWewe ni PIMBI, mtu mwenye akili sawia hawezi lalamikia yale magoli ila MPIMBI TU,
Kwamba huu mpira wa Argentina ndio mkubwa? We jamaa unaushabiki au ni mpnz wa mpira? Mpira huu ndio bingwa wa DUNIA??Unafikiri tumeanza kuangalia mpira leo Mbwa Koko wewe?
Sasa ni mpira gani wanacheza Argentina na hao Saud?Mpira wa hovyo kabisa.
Angalia mpira ujifunze.
Unaibishia hadi VAR?Penalty ya mchongo pila bahasha [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Viva Saudi Arabia
Huna akili ndio maana hata huelewi kinachoandikwa PIMBI.Kwamba huu mpira wa Argentina ndio mkubwa? We jamaa unaushabiki au ni mpnz wa mpira? Mpira huu ndio bingwa wa DUNIA??
Mkuu mashabaki wa Messi kwa kukuza mambo wako vzr, ngoja wakutane na timu pendwa Brazil tuone kama yaliyomo yamo, siyo hao saudiaKwamba huu mpira wa Argentina ndio mkubwa? We jamaa unaushabiki au ni mpnz wa mpira? Mpira huu ndio bingwa wa DUNIA??
Mpira mbovu, hata pasi 10 kufikisha mtihani, timu inapoteza mipira kisenge.Mkuu mashabaki wa Messi kwa kukuza mambo wako vzr, ngoja wakutane na timu pendwa Brazil tuone kama yaliyomo yamo, siyo hao saudia
😂😂 Kipa anasubiri hadi asogelewe.Golini wameweka pazia tu au sio?
Saudia naona wako vizuri kwenye kutengeneza Offside Trick,😁Zimeshakataliwa Goal mbili mpaka sasa za Argentina
AhsanteDownload yaccine tv google
Sana..somo limewaingia mno😀😀😀Saudia naona wako vizuri kwenye kutengeneza Offside Trick,😁
Mbwa koko 😂😂😂Unafikiri tumeanza kuangalia mpira leo Mbwa Koko wewe?
Sasa ni mpira gani wanacheza Argentina na hao Saud?Mpira wa hovyo kabisa.
Angalia mpira ujifunze.