Nakadori
JF-Expert Member
- Sep 21, 2011
- 8,778
- 21,010
Kipofu kaona mwezi... maskini akipata....
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kipofu kaona mwezi... maskini akipata....
Jamani basi pole yao daah[emoji23]Eeh asee sio mbwembwee wao wako krb na Ukraine na Urusi kwhy heka heka pia zinawakuta na vitisho vya hapa na pale
Mexico huwa wana kipa wao anaitwa Ochoa na hujichukuliaga umaarufu wakati wa World Cup
original commentary ilikuwa nzuri zaidi itafute kuliko hiiView attachment 2424338
The best moment for so far!
Passion and dedication thats it! Leo Saudi Arabia walikuwa na dhamira ya ushindi tofauti na Argentina.Kipofu kaona mwezi... maskini akipata....
Dah tanesco hawataki tuwaone waafrica wenzetu wa ulaya🇫🇷 France XI:
Lloris;
Pavard,
Upamecano,
Konaté,
Lucas Hernández;
Rabiot,
Tchouaméni;
Mbappé,
Griezmann,
Dembélé;
Giroud.
Wazee wa kupanda ngamia shughuli yao sio ndogo uliza ali kamwe kilichomkuta khartoumWazee wa tende na halua
Ni bora astaafu tu kwa heshima aliyoyafanya its enoughNaona Ronaldo ameondoka Man Utd
Nimeumia sijui kwanini...anyway maisha yaendelee
jamaa ameshakua babu tena, umri unakwenda
jamaa ameshakua babu tena, umri unakwenda
amefukuzwa kisa nn??Ronaldo kafukuzwa MAn U, tunabakia Portugal kweli ama tunahamia Brazil?
Nunueni generator.Dah tanesco hawataki tuwaone waafrica wenzetu wa ulaya