Argentina yatwaa ubingwa Kombe la Dunia - Qatar 2022

Argentina yatwaa ubingwa Kombe la Dunia - Qatar 2022

Wakuu mwenye kujua App ya kuonea mechi online( streaming)

Anisaidie link. Nataka nitazamie game ya saa Nne.
 
Nasikia timu ya Poland imesindizwa nchini Qatar na Ndege za kivita..ndege ya wachezaji iko kati huku midege ya kivita kwa pembeni.. watu wana mbwembwe
Sio mbwembwe ndio wanaonyesha wanavyothamini watu wao.
Huku africa tunasafirisha wachezaji ambao wanasafiri first class kwenye vilabu vyao sie tunawapandisha economy huku rais wa shirikisho na watoto wake wakiwa first class tafikiria wanacheza wao
 
Na mechi zinazohusisha Ureno ni kiasi gani cha fedha? Maana kule kuna mtu wa kuchafua hali ya hewa
Nimejaribu kuangalia bei za ticket ni kuanzia Us$ 95-750.
Mechi zinazohusisha Argentina ndio mechi tiketi zake zinauzwa kwa bei kubwa. Kuanzia $550+

Hii maanake ni kwamba Leonel Messi bado ni mtu muhimu sana kwwnye soka. Game zote za Argentina ni $550+

Game kati ya Spain na German nayo bei ya ticket ipo juu. $ 750. Hii ni kwenye round ya kwanza.
 
Ni kama kuchukua tahadhari maana kuna vita kwenye huo ukanda wao, pia kwenye kurudi watakuwa nao pale pale walipo waachia ndio hapo hapo watakapo wapokea kuwasindikiza mpaka nyumbani.
Nasikia timu ya Poland imesindizwa nchini Qatar na Ndege za kivita..ndege ya wachezaji iko kati huku midege ya kivita kwa pembeni.. watu wana mbwembwe
 
42F6D2A0-8B72-4A88-8EA5-57B563255F7D.jpeg
 
Back
Top Bottom