Argentina yatwaa ubingwa Kombe la Dunia - Qatar 2022

Argentina yatwaa ubingwa Kombe la Dunia - Qatar 2022

Hawa wamepigwa kimoja hivi, basi watafunguka wapigwe nyingine hata mbili.
 
Kuna jamaa Nigeria alichukua 3,000,000 ya Mzee wake ya kodi akaenda weka bet Argentina ashinde, muda huu anaomba watu wamsaidie maana atajiua

Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
F0CBC681-7DFD-4955-9941-86CBCDBCDE56.jpeg
 
Kwakweli wachezaji wa Ubelgiji nao wamechoka, timu haina beki nzuri na hawana striker wa uhakika.

Batshuayi bado sana, hajatulia.
Hajatuliaaa eeeh[emoji41][emoji41][emoji1787][emoji1787][emoji1787],kakujib sa
 
Muhindi bado yupo na nyinyi msijuone kama mmepona
 
Alphonso anaweza wa cost wenzake kukosa Penalty.. Ingewapa moral zaid kupambana.

Mchezo ukishift dynamics Canada watajutia iyo penalty kukosa.
Yan haijachukua hata mda wamefungwa wao.

Canada kalewa sifa amejiona anaweza pishana na Belgium ss wamekufungwa wao.
 
Back
Top Bottom