Argentina yatwaa ubingwa Kombe la Dunia - Qatar 2022

Argentina yatwaa ubingwa Kombe la Dunia - Qatar 2022

Lioneee Messi...[emoji91]
IMG-20221127-WA0035.jpg
 
Hivi Kwanini Kombe La Dunia Tangu lianze Last week Dakika Za Nyongeza Zinakuwa Nyingi sana Wastani wa Dakika 14 za Nyongeza kwa KilaMechi?

Ni utaratibu mpya wa FIFA
Utaratibu wa sasa wa FIFA kwa kuanzia mashindano haya ya 2022 kila dakika ambayo haikuchezwa mpira unawekwa kwenye nyongeza. Mfano muda unaopotea wakati wa mchezaji kuhudumiwa matibabu, kujigaragaza chini, wakati wa kupiga kona muda unapoteaga pale, wakati wa kupiga free kick muda pia unapoteaga pale, mchezaji kapatwa na kizunguzungu, mara mchezaji kiatu kimemtoka, mara refa kasimamisha kwa sababu maalum mara mchezaji anaingia na kutoka mara mchezaji kachelewesha kurusha mpira. Tukio lolote linalofanya mpira usimame hata nusu dk, inaamishiwa kwenye dk za nyongeza. Hali hii inaendelea hata kama mchezo upo kwenye dk za nyongeza. FIFA wameamua hivi ili kuhakikisha kila senti ya mtazamaji wa mpira inatumika.
 
Argentina Messi akiwemo haijatutendea haki mashabiki wake kwenye kombe hili.

Speed hawana sjui ni uzee... yani Messi akikamata mpira hafiki nao popote ashapokonywa tofauti na France yani mbape pampja na kukbwa na maadui 3 pande zote bado akiukamata mpira anahakikisha anatoboa hadi kwenye 18 ibaki tu kumalizia.
Kuna style ya uchezaji naiona sana kwa France nao wanaijaribu ila bila umakini na kupoteza mpira...
France wana Mbape kushoto na Dembele kulia, wale ni untoucheable. Unaeza kuta Mbape yuko kulia na Dermbele yuko kushoto. Dembele anatumia mguu wowote adui hajui atapiga mpira na mguu upi. Kilichowasibu leo Denmark ni hiyo. Leo walikuwa na bahati Giroud hakuwa kwenye form na Dembele alichoka mapema. wangenyeeshewa 5
 
Me ndio kijike na nusu niliweza kuhimili tambo na kebehi hapa uwanjani hadi ushindi umepatikana
Msijifiche jaman team arg
Tina atafungwa tu na Poland na Saudi atatoa droo.
Asanteni sana kwa kushiriki
 
World Cup all time top scorers
  1. Miroslav Klose, Germany 16 goals
  2. Ronaldo Brazil 15 goals
  3. Gerd Müller Germany 14 goals
  4. Just Fontaine France 13 goals
  5. Pelé Brazil 12 goals
  6. Jürgen Klinsmann Germany 11 goals
  7. Sándor Kocsis Hungary 11 goals
  8. Gabriel Batistuta Argentina 10 goals
  9. Teófilo Cubillas Peru 10 goals
  10. Grzegorz Lato Poland 10 goals
  11. Gary Lineker England 10 goals
  12. Thomas Müller * Germany 10 goals
  13. Helmut Rahn Germany 10 goals
Cristiano Ronaldo na Lionel Messi wanakuja kuonekana kwenye nafasi ya 20+ na vigoli vyao vinane (8)
Labda wataongeza

Kylian Mbape tayari ana goli 7 akiwa na umri wa miaka 23 na kwa WC mbili tu
Kashamzidi Legend wa France Thienry Henry ambaye ana goli sita kwa WC 4

1669515804075.png
 
Roger Milla ndiye mchezaji mzee kufunga magoli katika historia ya Worl Cup
mwaka 1990 akiwakilisha Cameron Milla alifunga magoli manne (mawili dhidi ya Romania na mawili mengine dhidi ya Colombia) akiwa na umri wa miaka 38 na baadaye mwaka 1994 alifunga tena goli dhidi ya Urusi akiwa na miaka 42.
1669516652715.png

1669516467716.png
 
Back
Top Bottom