Argentina yatwaa ubingwa Kombe la Dunia - Qatar 2022

Argentina yatwaa ubingwa Kombe la Dunia - Qatar 2022

Tuombe Mungu bahati iwe upande wetu dhidi ya argentina
Msione kmy washabik wenzang wa LA Albiceleste kiukwl nilishindwa a angalia game hii nimewasha data game ilikua na presha.

Maneno yalikua mengi sana lkn tumeonesha kwnn sisi ni Mabingwa Wa South America na tulimfunga team yao pendwa kwao pale Brazil.

Vamonos [emoji1033][emoji1033][emoji1033][emoji1033][emoji1033][emoji1033][emoji1033][emoji1033][emoji1033]
 
World Cup all time top scorers
  1. Miroslav Klose, Germany 16 goals
  2. Ronaldo Brazil 15 goals
  3. Gerd Müller Germany 14 goals
  4. Just Fontaine France 13 goals
  5. Pelé Brazil 12 goals
  6. Jürgen Klinsmann Germany 11 goals
  7. Sándor Kocsis Hungary 11 goals
  8. Gabriel Batistuta Argentina 10 goals
  9. Teófilo Cubillas Peru 10 goals
  10. Grzegorz Lato Poland 10 goals
  11. Gary Lineker England 10 goals
  12. Thomas Müller * Germany 10 goals
  13. Helmut Rahn Germany 10 goals
Cristiano Ronaldo na Lionel Messi wanakuja kuonekana kwenye nafasi ya 20+ na vigoli vyao vinane (8)
Labda wataongeza

Kylian Mbape tayari ana goli 7 akiwa na umri wa miaka 23 na kwa WC mbili tu
Kashamzidi Legend wa France Thienry Henry ambaye ana goli sita kwa WC 4

View attachment 2428625
@lembu usisahau pia messi kipindi yupo age ya 23 alikuwa na balloon d or tatu mkononi na uefa kitu ambacho mbape ndio kishampita tayari kwenye hiyo age...
 
@lembu usisahau pia messi kipindi yupo age ya 23 alikuwa na balloon d or tatu mkononi na uefa kitu ambacho mbape ndio kishampita tayari kwenye hiyo age...
Akiwa na 22 alipata Baloon d'or ya kwanza, hiyo ya tatu aliipataje akiwa na 23. Najua alifululiza nne ila sio akiwa na 23
2009 alikuwa na 22 Balon d'or ya kwanza
2010 alikuwa na 23 Balon d'or ya pili
2011 alikuwa na 24 Balon d'or ya tatu
2012 alikuwa na 25 Balon d'or ya nne

Kuhusu Mbape nilikuwa nazungumzia ufungaji wa magoli, hii ya Balon D'or kwa Mbape itakuja tu ofcourse akiendelea kuwa PSG anaweza asipate kama za Messi au Ronaldo
 
Akiwa na 22 alipata Baloon d'or ya kwanza, hiyo ya tatu aliipataje akiwa na 23. Najua alifululiza nne ila sio akiwa na 23
2009 alikuwa na 22 Balon d'or ya kwanza
2010 alikuwa na 23 Balon d'or ya pili
2011 alikuwa na 24 Balon d'or ya tatu
2012 alikuwa na 25 Balon d'or ya nne

Kuhusu Mbape nilikuwa nazungumzia ufungaji wa magoli, hii ya Balon D'or kwa Mbape itakuja tu ofcourse akiendelea kuwa PSG anaweza asipate kama za Messi au Ronaldo
Kila mtu ana nafasi yake lakini kwa kigezo kimoja iko kumlinganisha mbape na yule mzee(messi) ni kama insults, yule ni legend apewe heshima yake na alivyovifanya vipo ambavyo kamwe mbape hatofanya, kama vile

Goli 51 kwa msimu mmoja la liga
Goli 91 kwa mwaka
Even being a greatest of the all time
Balloon d or saba
Pia kumbuka hata yeye sio center striker kama mbape ila he can score, dribble, assist, free kick
Haya tayari akiwa 23 alikuwa na balloon d or mbili ila mbape ndio hivyo tena

Pia usisahau kwa ubora wa national team France ipo vizuri sana kuliko Argentina so kwa vile mbape ni mchezaji mzuri inamsaidia kufanya vizuri zaidi, have you ever imagined messi angekuwa Spain? Au hata hapo France??? Bila shaka namba zake zingekuwa juu zaidi

Pindi wanachukua copa America, messi alihusika kwenye kila goli walilofunga Argentina, kama hakufunga yeye basi Ali assist, alikuwa man of the match game za kutosha pia alikuwa ndio mfungaji bora na mchezaji bora unaweza ona anavyotegemewa na wale vibonde wa Argentina na anavyoibeba kuliko hata mbape anavyotegemewa France naweza sema

All in all mbape ni talented kama alivyo messi na ni bora sana sema ndivyo hivyo lazima tuzidiane ili maisha yaendee
 
Back
Top Bottom