Mechi gani tena hiyo. Ah wee kweli unataka tz iendenworld cup sii tutaharibu mashindano ya watuTimu 64 inaongezeka mechi 1 tu mkuu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mechi gani tena hiyo. Ah wee kweli unataka tz iendenworld cup sii tutaharibu mashindano ya watuTimu 64 inaongezeka mechi 1 tu mkuu.
Ilikuwa 1986 group FHii itakuwa historia kwenye wc kwa timu ya africa kuongoza kundi japo kwa masaa kadhaa
Zikiwa timu 64 makundi 16 inamaana timu zitacheza kawaida kama sasa hivi sema itaongezeka round moja ya mtoano. Kama Europa ligi kabla ya robo unacheza mechi 2 za mtoano badala ya moja.Mechi gani tena hiyo. Ah wee kweli unataka tz iendenworld cup sii tutaharibu mashindano ya watu
🙏Ilikuwa 1986 group F
Morocco alitoa droo na Poland na England kabla ya kuja kumtangwa Ureno goli 3-1 na kumaliza wa kwanza Group F
So hii sio mara ya kwanza
Mimi naweza kujicontrolKubet ni kubaya maana ni addictive.
Hata Afrika ikipewa timu 10 Tz haitaendaMiaka ya Baadae tunaweza kwenda, wanaongeza timu.
Huoni mataifa Africa tulienda walivyoongeza timu.
World cup ijayo kutakua na timu 48 badala ya 32, na sitashangaa wakiongeza hadi 64.
Kabla ya hapo 1986 Morocco waliongoza GP F baada ya kumtwanga Portugal 3-1Mwaka 1994 nigeria aliongoza kundi mbele ya argentina ya maradona raraa reree View attachment 2429218
Bora ununue ovenYaani niweke million kwenye betting?[emoji1787]
Si ntakuwa nimechanganyikiwa
Sent from my TECNO CG6 using JamiiForums mobile app
Kdb hakuemoMorocco ndio timu pekee ya kututolea aibu, wengine wasindikizaji tu.
Kanada anamkaziaUhakika uyo man game ya mwisho ana maliza na Canada
Ah hivi vitimu dugu wacha viendelee kukaa nyumbani maana hawana akili tuu.Zikiwa timu 64 makundi 16 inamaana timu zitacheza kawaida kama sasa hivi sema itaongezeka round moja ya mtoano. Kama Europa ligi kabla ya robo unacheza mechi 2 za mtoano badala ya moja.
Mkuu kwa Timu kubwa mfumo huu ni mbaya ila kwa nchi ndogo ni mfumo mzuri.
Hii game inatakiwa iishe hivi hivi msimamo ubaki hapoCroatia anakibarua ameshaonjwa