HIMARS
JF-Expert Member
- Jan 23, 2012
- 70,791
- 98,334
Wapinga ushoga wengi ni mashoga, wanajificha kwenye kukemeaUsipoangalia kwa mentality uliyonayo ushoga utakuathiri wewe kuliko wao? haya vipi Qatar aliyekuwa wa kwanza kutoka?vipi Tunisia?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wapinga ushoga wengi ni mashoga, wanajificha kwenye kukemeaUsipoangalia kwa mentality uliyonayo ushoga utakuathiri wewe kuliko wao? haya vipi Qatar aliyekuwa wa kwanza kutoka?vipi Tunisia?
Hao jamaa watakua wanafanya makusudi, sio bure.TANESCO wamepita na nishati yao
Sasa hivi wanawarudisha, wengine wanarudishwa na maboti yao wanazama wanakufa.Na wengi hufia Libya kabla hawajafika mbali.
Pia unatakiwa uwe na hela huvushwi kirahisi.
Uzuri ni kuwa ukifanikiwa vuka tu hutarudishwa
Unajicontrol tu ila ukizidisha unapotea kweliKua addicted,uraibu nauogopa
Usiseme hivyo ujue wanaweza funga hainaga formula.Leo naona kama Spain anafungwa na Germany... Spain wamekosea kumuweka RODRi Kuwa beki, wamekosea kumuacha Ansu fati nje.. wamekosea kumuanzisha Jordi Alba.. wamekosea kumuweka busquet yuko slow sana....
Spain ni timu yangu lakini leo anafungwa.. niko pale nimekaa
Wanakufaje sa jmn au wanawaua kimkakatSasa hivi wanawarudisha, wengine wanarudishwa na maboti yao wanazama wanakufa.
Me naomba hii game iishe hivyo.Croatia wamesawazisha
Game sare hiyo.What a move....what a goal...
Croatia 2
Kwa nini Rodrigo amekuwa centre back leo?
CDM kucheza CB sio jambo la kushangaza.. Na amewah kucheza hapo mara kibao.. Na hata game ya Costa Rica alicheza CBKwa nini Rodrigo amekuwa centre back leo?