permanides
JF-Expert Member
- May 18, 2013
- 11,682
- 14,241
Itakuwa kuna tundu linakuwasha.Acha 'undina' wewe...
Kubali kurekebishwa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Itakuwa kuna tundu linakuwasha.Acha 'undina' wewe...
Kubali kurekebishwa
Wewe kuliwa kunakuharibu.Makuu wew tu acha makasiriikoo ulisha sema senega hapita sas kapita embu niondokee pimbi wew
Kwani England yeye keshafuzu??Uingereza na Senegal patachimbika.
Aaah Senegali wamenipa confidence ya kuzidi kuziamini timu za Africa
Ndio basi tena wakalime mihogoEcuador analia hatari....
Kwa mpira huu senegal haitofika robo fainal
Hcho ndo nachohofia wanakosa sana clear chances wanapata lkn wanakosa.. Hatua za mtoano hkn game nyngne umepigwa umetoka.Wajirekebishe, hatua inayofuata inahitaji umakini zaidi, aio kukosa kosa magoli ya wazi hovyo hovyo.
Bado hajafuzu,anahitaji draw tu ili apite.Kwani England yeye keshafuzu??
Mueleze bhana jamaa anaongea pumba San na hata hajui mpiraAcha 'undina' wewe...
Kubali kurekebishwa
Obvious anafuzuKwani England yeye keshafuzu??
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Kitakachoipata Senegal leo kitahuzunisha Afrika nzima. Game washaishika ila haya makosa ya kukosa clear chances kama hizi ni kujichimbia kaburi.
Ghana ni hd ashinde sbb uruguay anayo nfs, korea kusini anayo nafasi.Ghana njia nyeupe maana Uruguay kapigwa jana.