Argentina yatwaa ubingwa Kombe la Dunia - Qatar 2022

Argentina yatwaa ubingwa Kombe la Dunia - Qatar 2022

Screenshot_20221129-203935~2.jpg

Wataalamu naomba mtueleze tusiojua mpira. England anacheza na wales. Kwa mfano wales akimfunga england...eng atabaki na point 4...wales atakuwa na 4 pia. Sasa ikitokea mechi imeisha yani imefika full time na wote wana 4 points... nani atatoka???
 
View attachment 2431035
Wataalamu naomba mtueleze tusiojua mpira. England anacheza na wales. Kwa mfano wales akimfunga england...eng atabaki na point 4...wales atakuwa na 4 pia. Sasa ikitokea mechi imeisha yani imefika full time na wote wana 4 points... nani atatoka???
Scenario Inatakiwa walau Wales ashinde kwa goal 4 bila majib kwa England ili aweze kupita vinginevyo England kapita.
 
View attachment 2431035
Wataalamu naomba mtueleze tusiojua mpira. England anacheza na wales. Kwa mfano wales akimfunga england...eng atabaki na point 4...wales atakuwa na 4 pia. Sasa ikitokea mechi imeisha yani imefika full time na wote wana 4 points... nani atatoka???
Goal difference ( GD ) ndo itaamua ..
England ana GD 4 na Wales ana -2 .. ili wales apite inatakiwa amfunge england kwa tofauti ya 4+ goals
 
Back
Top Bottom